Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

ASH-SPLASH_992264a.jpg



Sasa Chelsick kama mnaona Ashy ametenda dhambi kubwa
kuliko Abraham o Vich na Terry basi
jamaa kule Uhispaniola wanamuhitaji.
cherylAsh1_getty_518983s.jpg

Huyu bwana mdogo ni pengo kubwa kwa Chelsea nina imani Bosingwa akirudi ataziba hilo pengo
 
High quality game! we do not complain for the penalty....like Arsenal boys....at the bridge they are out

"away games games are not away anymore" - proven by man united at san siro, chelsea mkubali you in trouble!
 
Alberto-Milito-Diego-Inter-Milan-Champions-Le_2423917.jpg


Wa kulaumiwa ni Terry {haonekani pichani} alipigwa chenga na huyu kijana, zile chenga za mchangani kwenye chandimu .....
 
"away games games are not away anymore" - proven by man united at san siro, chelsea mkubali you in trouble!
Bila kujali matokeo ya leo siku zote mwenye nafasi kubwa ya kusonga mbele ni yule anayemalizia game nyumbani kwa faida hiyo bado tuna dakika 90 za kuonesha hilo na tunaweza.
 
Bila kujali matokeo ya leo siku zote mwenye nafasi kubwa ya kusonga mbele ni yule anayemalizia game nyumbani kwa faida hiyo bado tuna dakika 90 za kuonesha hilo na tunaweza.

Hiyo ni theorem ya wapi?
 
its just half-time i can say, we have 90 minutes to play at our home ground "Stamford Bridge" on Mar 16. We have away goal advantage - nothing to worry!
 
its just half-time i can say, we have 90 minutes to play at our home ground "Stamford Bridge" on Mar 16. We have away goal advantage - nothing to worry!

im man utd big fan,but i have to say chelsea will easily qualify for the next round, i hate to say this coz i'd like to c them crashed!
 
I am happy with the result at San siro, 2-1 away is not much worse than a 0-0. Italian sides are known to defend well, however I feel we can nick it at Stamford bridge in three weeks time! Common Chelsea!!
 
Alberto-Milito-Diego-Inter-Milan-Champions-Le_2423910.jpg



Ushindi mzuri bana ...... Khe khe kheeeeeeeeeeeeee
 
Esteban-Cambiasso-Inter-Milan-Champions-Leagu_2423947.jpg


Tardelli-esque: Esteban Cambiasso celebrates his stunning strike
 
Atakaye vuka hapa ndiye atakaye kuwa bingwa!
mganga wako wa sumbawanga ndio amekwambia kati yenu na inter mmoja wenu ndio atakuwa bingwa ? kwa mpira gani nyie wawili mlio kuwa nao mpaka muwe mabingwa? endelea na ndoto zako mkuu.

kilala kheri mechi ya marudiano.
 
Chelsea goalkeeper Petr Cech tore a calf muscle in the Champions League defeat by Inter Milan and will be out for up to a month, the club have confirmed.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom