Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

hivi kuna thread nyingine ya hii mechi au nikwamba watu wamejificha?

Wanajifanya walikuwa hawajui mpira wa leo ni saa ngapi na leo wakichapwa itakuwa back to back kwa Man City, si unakumbuka walipokwenda kule walipa fweza walipotea njia khe khe kheeeeeeeeeeeeeee

Watachungulia tu leo hadi wapate magoli LOL.
 
hivi kuna thread nyingine ya hii mechi au nikwamba watu wamejificha?

...tactics baba, wamebadili tactics...leo washabiki wao humu jamvini 'wanajificha' kwa style ile ile ya kidarajani.

formation; 9 - 1 - 0 😀😀😀
 
_47385143_tevez_afp766.jpg


Tevez akifanya vitu vyake
 
...tactics baba, wamebadili tactics...leo washabiki wao humu jamvini 'wanajificha' kwa style ile ile ya kidarajani.


formation; 9 - 1 - 0 😀😀😀


Watajijua Man City wanatafuta goli jingine
 
Ni aje Chelsea!? Invisible, Masanilo and Company ubingwa huo unawateleza kwa mara nyingine tena SAF na MANU wanashangilia ile mbaya wanatamani wangekuwa na uwezo wa kusogeza dkk ili iwe dkk ya 95 na mpira uishe....hahahahahaha. Bado mna dkk nyingi za kuokoa point moja na hata kushinda pia.
 
Hii timu ya wazinzi mbona hivi? Ni Saikoloji inawaathiri nini? Juzi nilisoma gazeti la Sun kuna picha ilipigwa jirani na kwa Cole jamaa aliweka banner pale ikisomeka "CHERYL CALL ME. Love JT xxxxx" ikimaanisha Terry ni maarafu kwa kulamba wa wenzie teh teh
 
Siku ya kufa nyani miti yote huteleza. Poleni mwe! Sikudhani kama kuna siku SAF atakuja kumshangilia tena Tevez...lakini bila shaka huko aliko anatamani kumpa hugs na kisses kibao.
 
With Love from Argentina khe khe khekhe Chelsick 1 - 3 Man City
 
Siku ya kufa nyani miti yote huteleza. Poleni mwe! Sikudhani kama kuna siku SAF atakuja kumshangilia tena Tevez...lakini bila shaka huko aliko anatamani kumpa hugs na kisses kibao.
Kutokuwepo kwa kipa wetu kumetugharimu SANA...

Kilio cha mtu mzima ndio leo!

Am speechless 🙁
 
Hii ni aibu sasa unatendwa home halafu unaongoza ligi hawa ni kitandanni tu ndo wajuvi
 
wanga hao safari imewadia.

haya sasa tayarisheni hela kuvunja mkataba wa ancelloti na muandae hela nyingine ya kununua kocha mpya.
 
Poleni blue devils,itabidi nianzishe main thread ya Man city maana naona wamepania kurepeat their legacy....Kwa investment wanayofanya ni wazi watakuwa mojawapo ya vigogo vya EPL.
 
Chelsea kweli sijui nini kimewapata,Ballack nje,ama kweli hakuna mume wa waume.
 
Kutokuwepo kwa kipa wetu kumetugharimu SANA...

Kilio cha mtu mzima ndio leo!

Am speechless 🙁

Haya Mkuu poleni sana ndiyo ukubwa huo 🙂. Tukishinda leo basi mambo ndiyo yanakuwa mswano zaidi maana lolote lile linaweza kutokea. Matokeo haya ni motivation kubwa sana ya kuwabamiza wale Stoke leo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom