AL SHARPTON
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,797
- 953
Darajani mmekuwa kama Liverpool siku hizi
Maneno anayoongea Morinho ni wazi kuwa timu imeshamshinda
hii ndo timu iliyochukua ubingwa msimu uliopita au. imekuwa kibonde hivi
Darajani ni mdebwedo tu siku hizi watu wanajichotea points
Poleni watani kule nyuma wote shikamoo jazz band
ONE OF YOU is going to really hate me tomorrow!!!
Hongereni wote mnao iombea njaa Chelsea, naona sasa mko dunia nyingine kabisa,
anyway tutajipanga na tutafika pazuri tu
Mimi nataka asifukuzwe tuone uwezo wake halisi wa kutengeneza timu ulivyo. Huku kufukuzwa, kuhama hama timu kunamfichia siri kama siyo hivyo tungemweka katika level ya kina Big Sam muda mrefu uliopita
Kauli hii ingetolewa na Ntuzu nisingeshangaa, lakini wewe pia?Tutafanya maajabu kwa kuchukua kombe msimu huu, Chelsea
Mou anaenda Sunderland na Mr. Dick Advocaat anakuja Darajani kuziba nafasi ya Domokaya.Asifukuzwe apewe last chance ila
Iva, Terry wasicheze