Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,545
- 35,404
hamna kocha pale. yule asubirie kufukuzwa tu.Msimu uliopita alibahatisha.
Tunamuonesha kuwa msimu uliopita hatukujipanga vizuri.
naomba man united iendelee kufanya vizuri
hamna kocha pale. yule asubirie kufukuzwa tu.Msimu uliopita alibahatisha.
Tunamuonesha kuwa msimu uliopita hatukujipanga vizuri.
sijakukimbia mkaanga sumu nipoo ila naumwa sana.
Sema ujue nini leo wenger na lvg kitaeleweka tuu nani mbabe
Pole sana Mungu akupe wepesi upone haraka
Ushauri wangu binafsi ya leo fatilia live score tu
hamna kocha pale. yule asubirie kufukuzwa tu.
naomba man united iendelee kufanya vizuri
Wewe kweli Nzi
Chelsea hawavai Samsung siku hizi,uwe unajipanga kabla ya kupost hizo picha
naamini hivyo. watu watashangaaMan Utd tunafanya yetu msimu huu.
Kwa hiyo ni jezi ya Sunderland?
Wakati wanavaa Samsung Hazard na Faby walikuwa onform
So,ujumbe wako na picha uliyoiambatanisha vinapingana!!
Wewe kweli Nzi
Chelsea hawavai Samsung siku hizi,uwe unajipanga kabla ya kupost hizo picha
Mkuu acha kuishi kwa Mazowea!! Hiyo sio formular
Kwa hiyo ni jezi ya Sunderland?
hivi una akili kweli au ndio mambo ya mou hayo ??
huyo ni fan sio mchezaji jersey ikibadilishwa kwa hiyo yake aitupe ??
teh teh teh malalamiko yote klabuni
Jose Mourinho's remarkable seven minute outburst | Football News | Sky SportsDah kuna mwana kanitumia audio ya mou ya Jana baada ya kichapo serious jamaa kachangnyikiwa kaulizwa swali moja katumia dakika 7 na sekunde 20 kulijibu, angeulizwa maswali hata matatu huyu mzee angeomba hadi half time.
Jamani kuna vile vikatuni mbona humu sijavishuhudia.. but kwenye viwanja vingine timu zikifungwa vikatuni huwa vinawekwa vua kutosha tu.
Mentor football is a game of fair play.
The best team ze blauzzz never lose, ze bluuzzii got only "fake results"The best team lose
Subiria tu, Mentor anavichora, akimaliza tu anavibandika hapa.Jamani kuna vile vikatuni mbona humu sijavishuhudia.. but kwenye viwanja vingine timu zikifungwa vikatuni huwa vinawekwa vua kutosha tu.
Mentor football is a game of fair play.