Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Imeniuma sana mpka steam zimeniruka kabisaa.kwa nn team yetu inafungwa iviiiiiiiii?imeniumaaaaaaaeeeeeee iiiiiiiiiiiiiii

beleza Morinyo kaishiwa maujanja!
Ule mtindo wa kupaki basi nadhani ndio ulikuwa unamsaidia lakini ikija kwenye soka la kutandaza mambo ndio kama haya! Majivuno, dharau na ubwatukaji wake umefikia ukingoni na atakuwa na msimu mbaya sana this time!
 
Last edited by a moderator:
Chelsea fans finding Hazard and Fabregas 😂😂😂 ImageUploadedByJamiiForums1443900593.117402.jpg
 
Maureen alidhani kila mechi itachezeshwa na Mike Dean eeeh?!

Hakuna rangi Special Woman ataacha kuona
 
Kuna mtu amecomment hivi bbc:

"Given their concurrent drop in form I can
only assume that Eva Carniero was actually
coaching the team for Mourinho."

Nimechekaje?

Eva Carniero kamlaani Mourinho...!
 
Chelsea msimu huu hawaifunga timu yoyote epl ikiwa na wachezaji 11.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Maneno anayoongea Morinho ni wazi kuwa timu imeshamshinda
 
  • Thanks
Reactions: Nzi

Similar Discussions

Back
Top Bottom