Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,368
Imebaki moja tu Morinho atimuliwe
Kutimuliwa kwenda wapi?
kwani bingwa nani msimu huu?, league bado sana wangu, ni mechi nne tu hizo kaka, tutarudi tu wala usiwe na pressure
Imebaki moja tu Morinho atimuliwe
Kutimuliwa kwenda wapi?
kwani bingwa nani msimu huu?, league bado sana wangu, ni mechi nne tu hizo kaka, tutarudi tu wala usiwe na pressure
Tumesahau kutoa salamu na pole kwa wafiwa......
Pole yangu kwa mpenzi wangu wa moyo Ntuzu pole sana sweet I lov u ni mpito tu, Mentor Mcharo wangu usiache kunifanya nipendeze pole sana darling halafu sweet nina ujumbe wako, kalou best yangu pole sana najua leo uko disappointed sana mpka uzalendo umekushinda ENZO pole sana Dogo langu huu ndo mpira banaaa!!! Piga kitabu Dogo....#All The blue fans poleni sana....
cute b thx sn Bi mdogo wangu
Najua wewe ni mfatiliaji mzuri wa EPL, na Chelsea unaijua vizuri, hivi kweli kuna tatizo la viungo pale?, kuna ulegevu mdogo wa defence na hilo liko mbioni kutafutiwa dawa, Azip atacheza kulia, Baba kushoto, shida iko kati pale, Mou yuko mbioni kutafuta dawa kabla ya dirisha kubwa la usajiri alijafungwa
Petr Cech gone with the bus keys,Chelsea can't park their bus now.
Chelsea imenimiza sana sa iv nashabikia Malofa wenzangu (UKAWA) Mpaka mwezi wa sept ndo ntarudi kujiunga na Wenzangu(Chelsea)
Kumbe siku hizi nashare na cute b sikujua aiseee!!!! Ngoja nijitulize kwa dady wako tu....
Hahahahaaa cute b si mdogo wako? Sasa sio mke wangu pia?
Huwezi shinda furaha aliyonayo Nonda. Timu ya Nonda imeshinda Ze Buluuuzzziii.
Nimefulahi na nimeanza kunusa ugolo.
Mwaka huu kazi tunayo hizo point nane tulizopoteza kizembe kuzipata itakuwa kazi sana......
Tusipoangalia yatakuwa yale yale ya Man U....
Kosa la Kwanza ilikuwa Morinho kuanza ugomvi na yule Daktari... amuombe msamaha tu arudishwe isijemtokea kama yaliyomkuta AVB kisa kuwaacha wakongwe nje....
Yule Dk halikua ni kosa!
Wachezaji ndio wenye matatizo.....waangalie vzr utaona kuna shida!
Ingekuwa vema timu ikasukwa upya km alivyoisuka msimu Wa juzi!
Kuna tatizo pia kwenye kiungo combo ya Matic na Cesc watu wameshaijulia, Cesc alishapotea kuanzia January .Matic amekuwa na kazi kubwa zaidi game ya West Brom alisababisha penati Jana Jose akaamua amtoe mapema. Azpi, Pedro, Zouma ndio wanaonyesha uhai but Ivanovic, Hazard, Cesc hawa bado wako likizo