Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ndugu zangu wapendwa. Ntuzu, Mentor, Kalou na zile mashabiki za msimu.

Kwa upendo wote namiombeni mje jukwaani mtoe uchambuzi wa mechi ya leo.

Nini kimeenda kombo? Nini Mourinho afanye?

Kupoteza mechi mbili tu inaweza kuwa ni changamoto nzuri tu. Msimu una mechi 38. Zimebakia 34.

Rudini hapa bana, tuongelee kabumbu, kandanda, mtanange na maumivu ya kutandikwa viboko nyumbani.

kaka wewe tatizo uliliona wapi?, nisingependa uzungumzie penalt ya Zouma
 
Haya sasa tunaendeleaa...
 

Attachments

  • 1440885649877.jpg
    1440885649877.jpg
    29.1 KB · Views: 92

Similar Discussions

Back
Top Bottom