1.Dugu ya Yaya
2. Mentore
3. Ntuzu
Moureen hahahaaaaa
Hii domokaya ilikumbuka kumpa mkono Pardew mechi ilipoisha au matokeo yalimfanya achanganyikiwe?
Domokaya ameibuka na haya leo baada ya yokohama kuchomwa.
Chelsea boss Jose Mourinho: "We didn't deserve to lose. But Palace gave us a very difficult game. The result should be a draw, which would still be bad for us. We did enough not to lose."
Nini kimetokea dugu???Mwaka huu tutaona mengi EPL.
Kwa kauli hii Domokaya Ameanza kuwa na heshima. Kidogo kidogo, pole pole atafunza adabu na nidhamu.Hahahaaaaa
Hahahaaa leo nimewaletea live update hadi wamefurahi
everlenk tuondoke mamy tuka ombe kwa ajili ya keshoBasi inatosha mchukue shostito mrudi kuleeee, kesho napo si rahisi kiivo ati!!!
everlenk tuondoke mamy tuka ombe kwa ajili ya kesho
Jamani nilikuja tu mara moja kutoa pole,nasikia kuna msiba hapa!lakini mbona wenyeji hawaonekani?au hakuna matanga leo?
Tumesahau kutoa salamu na pole kwa wafiwa......
Pole yangu kwa mpenzi wangu wa moyo Ntuzu pole sana sweet I lov u ni mpito tu, Mentor Mcharo wangu usiache kunifanya nipendeze pole sana darling halafu sweet nina ujumbe wako, kalou best yangu pole sana najua leo uko disappointed sana mpka uzalendo umekushinda ENZO pole sana Dogo langu huu ndo mpira banaaa!!! Piga kitabu Dogo....#All The blue fans poleni sana....
Tumesahau kutoa salamu na pole kwa wafiwa......
Pole yangu kwa mpenzi wangu wa moyo Ntuzu pole sana sweet I lov u ni mpito tu, Mentor Mcharo wangu usiache kunifanya nipendeze pole sana darling halafu sweet nina ujumbe wako, kalou best yangu pole sana najua leo uko disappointed sana mpka uzalendo umekushinda ENZO pole sana Dogo langu huu ndo mpira banaaa!!! Piga kitabu Dogo....#All The blue fans poleni sana....
tantee mdada everlenk . kunguru kamnyea binadamu" ............. tudiscus mambo yenye kuleta maendeleo, Mi naona Lowasa tukimpa nchi anaweza kabisa, au wewe unasemaje?!