Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Asanteni sana wakuu;
nimepata PM za kutosha;asante sana wadau...
sasa nipo humu 24/7...
kama kawaida..
Duh! Siamini ujue?
Karibu sn mkuu
Asanteni sana wakuu;
nimepata PM za kutosha;asante sana wadau...
sasa nipo humu 24/7...
kama kawaida..
Jana nilikuwa niulize Kama agosti kapigwa ban ila sidhani jamaa hana matusi,but nahisi kuna id naiona kila siku swaga kama zake
kama ndoto vile...
ebwana Viol; mkuu nipo..sijawahi kupigwa ban nasikia tu watu hupigwa BAN..
niko salama na kamili kusherehekea ubingwa..
We acha Mkuu kitambo sn...nimekuchek kwenye pm huko kuna ujumbe wako....
Km ndoto kamanda....
daah; asante sana kaa kunikumbuka;
hii ni kama familia aisee..
asanteni sana...niko imara kabisa..
nondo zipo kama kawaida.
leo ntazungumzia jukumu la Kurt Zouma..
kama kawaida..uchambuzi yakinifu.
JUKUMU LA KURT ZOUMA KWENYE KIUNGO...
1. Kwenye fainali vs SPURS..
aliwekwa ili kuwadhibiti viungo wa SPURS ambao walitudhuru sana Januari Mosi; 5-3. Matunda ya kazi yake yalikuwa wazi kabisa..anaweza sana kudhibiti mipira ya juu; na pia ana akili ya mpira, mwepesi wa kufanya maamuzi. Hana kitete kama David Luiz..wala hana papara.
2. Kwenye mechi ya WESTHAM..
Westham wana wachzaji wasumbufu kwenye kiungo; ambao Febregas na Matic peke yao hawawezi kuwadhibiti; mfano ni KOUYATE..
3. Kwenye mechi ya MAN UTD.
mechi ya UTD VS CITY ilionyesha wazi hatari na madhara ya FELLAINI..hasa kwa mipira ya juu,nguvu na mpira wake wa kibabe..
Zouma alimtuliza vizuri sana...
nimesema hivi....MKIWAFUNGA ARSENAL NAOMBA NIPEWE BAN YA MWEZI MMOJA......sibadili kauli wala msimamo.
Kwa staili ya kucheza 12 kiwanjani kama tuliyoyaona juzi
watashinda tu. Maana marefa sasa wameamua kutoa bingwa mwaka huu.
Kwa staili ya kucheza 12 kiwanjani kama tuliyoyaona juzi
watashinda tu. Maana marefa sasa wameamua kutoa bingwa mwaka huu.
TOUCHES IN OPPOSITE AREA: Look closely and observe hiyo 71% ilichezewa eneo gani la uwanja.
Mimi nasema hivi sikuona game lolote bora walilocheza Man utd (niiteni hater tu) but as a football fan kile walichofanya ni kujichisha....you don't stay with the ball kama unataka ushindi. And further more, wanaokaa na mpira sana eti ni mabeki. Mwisho unasema the best team lost..how so!!!!!!
![]()