Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

The good thing is, Man City have droped the points.

Na nikukmbushe tu kua kesho unaweza ukalia kwa Spurs......

Huna haja ya kunikumbusha, kwani nafahamu fika matokeo matatu yanayoweza kutokea katika mechi ya soka....

Ila si unajua ukiwa mpenzi wa timu, siku zote unategemea ushindi, ingawa kuna kudroo ama kushindwa...
 
Huna haja ya kunikumbusha, kwani nafahamu fika matokeo matatu yanayoweza kutokea katika mechi ya soka....

Ila si unajua ukiwa mpenzi wa timu, siku zote unategemea ushindi, ingawa kuna kudroo ama kushindwa...


Ilikua haina haja ya wewe kusema kua na michezo miwili mkononi haina maana kwamba ndio kua na pointi wakati najua hizo pointi sita hatunazo kwasababu bado hatujacheza hiyo michezo.................
 
Ilikua haina haja ya wewe kusema kua na michezo miwili mkononi haina maana kwamba ndio kua na pointi wakati najua hizo pointi sita hatunazo kwasababu bado hatujacheza hiyo michezo.................

Nimesema kwa sababu kuzikosa hizo points ni mojawapo ya matokeo yanayoweza kutokea chifu..

Yaani katika hizo mechi mbili, haya yanaweza kutokea: (a) kupata points zote 6, (b) kukosa points zote 6, (c) kupata points 2 kati ya 6, (d) kupata point 1 kati ya 6, (e) kupata points 3 kati ya 6,na ( f) kupata points 4 kati ya 6.
 
Nimesema kwa sababu kuzikosa hizo points ni mojawapo ya matokeo yanayoweza kutokea chifu..

Yaani katika hizo mechi mbili, haya yanaweza kutokea: (a) kupata points zote 6, (b) kukosa points zote 6, (c) kupata points 2 kati ya 6, (d) kupata point 1 kati ya 6, (e) kupata points 3 kati ya 6,na ( f) kupata points 4 kati ya 6.


Hahahaaaaa mdudu na mimi nimesema jambo zuri ni kwamba City kapoteza mchezo leo hii ikiwa na maana kwamba hatuna Presha km City kwa Arsenal au Kwako ManU au Spurs au LFC msukuma mwenzangu.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Mourinho blasts Sky pundits AGAIN!
Mourinho has hit back at pundits branding his side 'cheaters'

Jose Mourinho has hit back at claims that his Chelsea side's gamesmanship is cheating by accusing those who call his Chelsea side cheaters ‘envious'.

Graeme Souness and Jamie Carragher, pundits for Sky Sports, labelled Mourinho's side as ‘pathetic', after nine of their players surrounded the referee in an apparent bid to get PSG striker Zlatan Ibrahimovic sent off.

Speaking in a press conference, Mourinho said, "Jamie stopped playing a couple of years ago and forgot everything he did on the pitch."

"Mr Souness also, but he stopped playing a long time ago. I coached Benfica after he left there, I know a lot about him, so much about him."

Mourinho was philosophical in his final words on the retired Liverpool duo, commenting, "Envy is the biggest tribute that the shadows do to a man. It's about life.
 
Baada ya psg kutufunga nimegundua team yetu ni team kubwa sana dunian na hii imjionyesha katika page mbalimbali ya mitandao na hata katika medi mbali mbali dunian ikiwemo jamii forums

Man u aligungwa na arsenal katika uwanja wa old trford na na ktolewa katka mbio za kugombania kombe

Psg ni team kibwa sana dunian na huwezi kuilonganisha na team ya arsena
Leo chelsea katoa drow na team kubwa dunian imekuwa shida hatulan mashabiki wa chelsea kila kona wanatusema ss...kwa nini msimseme man u kafungwa na watoto wa england

Acha kujidanganya timu kubwa duniani zinajulikana,kinachowafanya mjadiliwe ni mdomo wenu na mdomo wa kocha wenu.Man United wamefungwa na Arsenal but unasahau mwaka huu Chelsea alifungwa goli 5 na Spurs
 
big 4 man u kwa mchezo wao hawatakwepo,tusubiri mwisho wa ligi
big 4 itakuwa chelsea,mancity,arsenal and liverpool

una mawazo kama yangu!' ..............hahahahahaha

Grand PA
 
Team to face Southampton: Courtois; Ivanovic, Cahill, Terry (c), Azpilicueta; Matic, Fabregas; Willian, Oscar, Hazard; Diego Costa. #CFC
 

Attachments

  • 1426424103611.jpg
    1426424103611.jpg
    93.7 KB · Views: 74
Team to face Southampton: Courtois; Ivanovic, Cahill, Terry (c), Azpilicueta; Matic, Fabregas; Willian, Oscar, Hazard; Diego Costa. #CFC


Chelsea:
Courtois; Ivanovic, Cahill, Terry (c), Azpilicueta; Matic, Fabregas; Willian, Oscar, Hazard; Diego Costa.

Subs: Cech, Filipe Luis, Zouma, Ramires, Cuadrado, Remy and Drogba.

Southampton:
Forster, Clyne, Fonte (c), Alderweireld, Bertrand, Wanyama, Schneiderlin, S. Davis, Tadić, Mané, Long.

Subs: K. Davis (GK), Yoshida, Gardos, Djuričić, Ward-Prowse, Pellè, Targett.



Mkuu Mentor nimefanya tu kuongezea sub na kikosi cha
timu ya Southampton
 
Last edited by a moderator:
Team to face Southampton: Courtois; Ivanovic, Cahill, Terry (c), Azpilicueta; Matic, Fabregas; Willian, Oscar, Hazard; Diego Costa. #CFC

Asante kaka kwa lineup ya leo

lakini bado nina wasiwasi na marking yetu, sijuhi walinzi wetu waliingiwa na nini kwenye ile mechi ya PSG, goli zote zilikuwa za vichwa, yaani beki haikukaba kabisa pale nyuma, na kabla hatujafungwa goli la pili Courtois alifanya save ya mechi kwa kuokoa mpira wa kichwa tena

hope Mou na madefender wote waliangalia ile mechi tena na waliona makosa yalipokuwa

hope tutashinda leo
Ntuzu, Viol, Manumbu
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom