Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wakuu tufanye tathmini kwa haraka haraka juu ya mchezo wetu na ManU Wa juzi huku tukiangalia tufanye nini ktk game ijayo......

Kwa kuanza mi nasema hivi mchezo wetu na ManU ulikua mgumu sn hasa kutokana na hawa makocha kuwahi kufanya kz pamoja....hii ilikua ni sababu moja kubwa kwa ule mchezo kua mgumu... LvG alikuja darajani akiwa anamfahamu vzr José.. Na José aliweza kumsoma LvG namna atakavokuja na mbinu zake zote na ile hali ya kupambana.....

Kuna sababu nyingine nyingi zilifanya ule mchezo uwe mgumu na ndio maana José alikua na ile approach na kupeleka ManU kuchemsha.

Kwangu Mimi mchezo wetu na Arsenal utakua ni mgumu na mwepesi sio km huu Wa ManU ulikua mgumu sn....ila ninaona kuna uwezekano mkubwa Mou kufanya mabadiliko kidogo hasa kwa Zouma hatoweza kupangwa sambamba na Matic ila naona Obi anaweza kuanza na Willian na Hazard kua wings....
Nisiseme yote niwakaribishe wadau wote Wa the blues ktk kuchambua.

Nacho sisitiza ni kwamba Emirates tunakwenda kuifunga Arsenal... Mou anakuja kivingine...

Karibuni.

Cc kunguru mjanja b5-click the say Mentor Manumbu ligera Root kalou Viol Kituko na wengine wooooote ambao sijawataja....

mkiwafunga arsenal naomba nipewe ban mwezi mmoja.

cc: Invisible Moderator
 
Last edited by a moderator:
mkiwafunga arsenal naomba nipewe ban mwezi mmoja.

cc: Invisible Moderator


Mkuu nikuombe ufatilie uchambuzi alafu uje uone Mou atakavoingia hapo Emirates.....

Hiyo ban itengue Leo Leo Mkuu. Msifikiri nyie mnaotufata nyuma yetu kwamba hatujui nia yenu ni kuchukua kombe...... Sasa tunapiga kabisa nyie ili kuwashusha chini kabisa....

Si mnamuita Mou anti-football kwa ball possession ya 29 kwa 71....sasa twendeni Emirates mkaone kz
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nikuombe ufatilie uchambuzi alafu uje uone Mou atakavoingia hapo Emirates.....

Hiyo ban itengue Leo Leo Mkuu. Msifikiri nyie mnaotufata nyuma yetu kwamba hatujui nia yenu ni kuchukua kombe...... Sasa tunapiga kabisa nyie ili kuwashusha chini kabisa....

Si mnamuita Mou anti-football kwa ball possession ya 29 kwa 71....sasa twendeni Emirates mkaone kz

nimesema hivi....MKIWAFUNGA ARSENAL NAOMBA NIPEWE BAN YA MWEZI MMOJA......sibadili kauli wala msimamo.
 
TOUCHES IN OPPOSITE AREA: Look closely and observe hiyo 71% ilichezewa eneo gani la uwanja.

Mimi nasema hivi sikuona game lolote bora walilocheza Man utd (niiteni hater tu) but as a football fan kile walichofanya ni kujichisha....you don't stay with the ball kama unataka ushindi. And further more, wanaokaa na mpira sana eti ni mabeki. Mwisho unasema the best team lost..how so!!!!!!



11156282_1396746567032222_1564536867799593141_n.jpg
 
cc. Mentor, Ntuzu, Invisible, ...

niko ndani ya nyumba...

forever blue..


TOUCHES IN OPPOSITE AREA: Look closely and observe hiyo 71% ilichezewa eneo gani la uwanja.

Mimi nasema hivi sikuona game lolote bora walilocheza Man utd (niiteni hater tu) but as a football fan kile walichofanya ni kujichisha....you don't stay with the ball kama unataka ushindi. And further more, wanaokaa na mpira sana eti ni mabeki. Mwisho unasema the best team lost..how so!!!!!!



11156282_1396746567032222_1564536867799593141_n.jpg
 
11051851_1395825340457678_8618121348658941398_n.jpg


You can never beat Mourinho....


11150605_1395818620458350_6134580451274902534_n.jpg



Oooh Mata...your presence didn't really mata anyway! We are Chelsea....
 
11159521_1395789423794603_3080548056674344530_n.jpg



11174986_10204503755854111_279669054121468597_n.jpg


Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom