Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ukiachana na fact kwamba NI LAZIMA KOMBE TULICHUKUE SISI...lakini tu-assume Chelsea squad yote imeumwa (this is the only probable reason we will lose the coming games)...the next person kuchukua kombe (judging by the table) ni ARSENAL...FROM LONDON.

MANACHESTER mnajisikiajeeeeeee!????????????????????

Hahahaha!!! Lohhhhh!!! Mtani ndo umeamua kunipa jiwe LA uso kabisaaaa!!! Haya bana hilo kombe lichukueni tu wenyewe kuliko kina BAK kulichukua maana nitakonda kwa fujo zao,lol
 
Last edited by a moderator:
Salamu wadau wote wa the Blues. Long time sijaonekana jukwaani mpaka imenichukua siku mbili kusoma comments na kuji update kinajori jukwaani. asanteni sana kwa kuchangamsha jukwaa. naona hata pages zimeshafika 1200+. Pole sana everlenk kwa maradhi yaliyokusibu recently. niwatakie siku njema na maandalizi mema ya game letu na QPR. Hope also tutajumuika Taifa kuwashuhudia akina Edgar Davids live!!!
 
Manumbu humu salama kabisa...sisi tupo tunalisongesha.

Usipotee sn hivo Mkuu tunakuhitaji sn kaka humu japo najua uko busy kidogo.

Sisi tupo tunasubiri kuchukua ndoo.

One love Manumbu
 
Last edited by a moderator:
Salamu wadau wote wa the Blues. Long time sijaonekana jukwaani mpaka imenichukua siku mbili kusoma comments na kuji update kinajori jukwaani. asanteni sana kwa kuchangamsha jukwaa. naona hata pages zimeshafika 1200+. Pole sana everlenk kwa maradhi yaliyokusibu recently. niwatakie siku njema na maandalizi mema ya game letu na QPR. Hope also tutajumuika Taifa kuwashuhudia akina Edgar Davids live!!!

Asante sana Manumbu,karibu tena jamvini
 
Last edited by a moderator:
Manumbu humu salama kabisa...sisi tupo tunalisongesha.

Usipotee sn hivo Mkuu tunakuhitaji sn kaka humu japo najua uko busy kidogo.

Sisi tupo tunasubiri kuchukua ndoo.

One love Manumbu

Ndoo !!ndoo!! hatuli, hatunywi ,hatulali tunabeba ndoo!! Mtabeba kidumu sasahivi Lol......nakupa offer twende tukawaone malegend wa Barca uko tayari???
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Salamu wadau wote wa the Blues. Long time sijaonekana jukwaani mpaka imenichukua siku mbili kusoma comments na kuji update kinajori jukwaani. asanteni sana kwa kuchangamsha jukwaa. naona hata pages zimeshafika 1200+. Pole sana everlenk kwa maradhi yaliyokusibu recently. niwatakie siku njema na maandalizi mema ya game letu na QPR. Hope also tutajumuika Taifa kuwashuhudia akina Edgar Davids live!!!

asante mdau pia kuna mdau agosti humu jamvini amepotea sana sijui yupo wapi
 
RRONDO nimesema hapo nyuma kua hii sio habari kwasababu, hivi karibuni ManU alipoteza OT tena ktk kombe amabalo km mngesonga mbele na kulichukua lingeleta matumaini na kuamsha moyo ule ulipotea ktk timu karibu miaka miwili sasa.....lkn mlifungwa tena nyumbani kwenu na mkaaga mashindano. Lkn cha kushangaza vyombo vya habari ata hapa jf haikua habari kuuuubwa vile km juzi kwa chelsea ndio maana nimekwambia kua kua CHELSEA SIKU ZOTE IKIVURUNDA NDO INAKUA HABARI ATA HAPA JF SIKU HIYO UZI WA CHELSEA ULITEMBEA KWA PAGES ZAIDI YA 20 KWA MUDA WA MASAA MAWILI....VIPI ILE SIKU YENU NA ARSENAL MLIFIKIA KIWANGO HICHI.....

Haina haja ya kuongea kwa kutumia maguvu sn lkn ukweli unajionyesha kila sehemu ndio maana wachambuzi wengi watakuja na hoja zao na kuchambua huo mchezo kitu ambacho ata mimi Mtz ninaekaa Bariadi niliona mpira ulikua mbovu kwa timu zote siku hiyo.

BAK najua kimtazamo wewe unamuunga mkono Ibra ktk hayo maneno alitoa lkn mimi nimesema kua alichofanya sio kizuri kwasababu maana ya michezo haiko hivo....michezo sio chuki au kutoa maneno hovo tu pale unapoface media....Jose Mou baada ya kutoka Paris alisema wazi kua PSG walikua wachokozi na walikua wanatumia mbinu za maudhi na akatolea mfano namna walivokua wakitumia kuzuia Hazard au kuvunja zile Counter attack walikua wanacheza rafu...na hichi ndio walikuja kufanya darajani ata walipokua wanaface media walitoa maneno mabaya ambayo Mou alibidi wakati mwingine ajibu hizo maneno....na mbaya zaidi maneno yanatolewa na wachezaji kitu ambacho kwa maisha ya soka leo mchezaji yuko hapa na kesho yuko pale anaweza akajikuta ktk wakati mgumu kwa mashabiki au kocha pia....turejee sakata la Benitez pale alipokuja darajani mkuu.

Ntuzu Kiongozi umesema ukweli kabisa. Chelsea ndio habari ya mjini kwa sasa. Ktk michezo 8 iliyobaki Chelsea akipoteza ata mmoja tu tena ktk hii ya mwanzo sio hiyo ya mwishoni tutaona namna huu Uzi wetu utakavyo vamiwa na hawa wapinzani wetu!

Kwa kawaida ya habari Mbwa akimuuma mtu, hiyo sio habari. Lkn mtu akimuuma mbwa hiyo ndio inakua habari! Sasa kufungwa kwa Chelsea siku zote hua ndio habari. Dunia yote inatikisika. Sio wale majirani zetu Arsenal na wale wazee Wa bahasha ya kaki na loserfool.

Big up sn Mkuu Ntuzu mwaka wetu na ubingwa ni wetu msimu huu.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom