Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Karibu sana usaidie kuchangamsha jukwaa letu.Siku hiyo itakuwa patashika nguo kuchanika maana mshindi wa mchezo huo kama kutakuwa na mshindi basi ndiye atakuwa amejiweka katika nafasi nzuri ya kutwaa taji mwaka huu. Tukishinda basi itakuwa ni motivation kubwa sana kwetu kumaliza kwa kishindo na mkizembea tu katika mechi zenu zilizobaki itakula kwenu.

Nyiye furukuteni tu...ila mziki mnao tarehe 17 ya Mei pale OT.....
 
Kwani ile timu tuliyoipiga bao ilikuwa ni timu B ya MANU na first eleven yenu walikuwa Watazamaji. Kufungwa ni kufungwa tu iwe kwenye FA au EPL. Usitake kuonyesha kwamba hamkucheza kwa juhudi zenu zote ili kushinda mechi ile kwa sababu ilikuwa ni FA Cup.

Eh! Kwani tunaongelea FA Cup ama EPL?!? Maana naona unasahau kuwa tulikupiga kwenu game ya kwanza!!
 
Nonda ktk ubora wake
Umeanza sasa.
Hivi huu ushindi wa leo mmeununua?

Kapenalty mmepewa bila kutoka jasho. Baada ya penalty nilijua kuna kamchezo kamechezwa! Niliamua kuangalia B.Munchen na B. Dortmund wakisakata kabumbu.
Na keeper amempeni mpira na aliondoka langoni kwake. (Hii nimeona kwenye highlights)
 
Ntuzu lile goli la Charlie Adam lilikukuta ukiwa wapi?chini ya uvungu,kitandani,msalani au?!kocha wenu alikuwa anatafuna nyasi leo!
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu lile goli la Charlie Adam lilikukuta ukiwa wapi?chini ya uvungu,kitandani,msalani au?!kocha wenu alikuwa anatafuna nyasi leo!

juve2012 huyo bwana kafunga goli la mwaka!

Hahahahaaaa Mourinho bhana vituko sn alitaka kutafuna nyasi!

Uko pouwa lkn rafiki yangu? Karibu sn mkuu ktk jukwaa letu hili!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom