Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sizani km atauzwa ila stapewa mkataba was mwaka mmoja na km atakubali taasisi atabaki!

Blazaaa josee anataka nini sijui.. Yani wakali huwa anawauza afu anawaleta watu wake.. Ananiboaga sana kwa hili
 
Blazaaa josee anataka nini sijui.. Yani wakali huwa anawauza afu anawaleta watu wake.. Ananiboaga sana kwa hili

Chelsea inajengwa for future mkuu! Sasa km wachezaji wanataka maslahi yao kuliko ya timu haina bundi kumruhusu aondoke!
 
Gemu ya 500 ya Lamps alicheza siku kama ya leo mwaka 2011
 

Attachments

  • 1428322358898.jpg
    1428322358898.jpg
    24.7 KB · Views: 85
Ok Chelsea fans.... Debate time. Both Matic and
Fabregas are on 9 yellow cards for the season.
If either of them pick up a 10th in the QPR
game they would be suspended for two games
which would be the Man U and Arsenal games.
If the decisions was yours, would you leave
them out of the match day squad for QPR? Play
them? Or bench
 
Ok Chelsea fans.... Debate time. Both Matic and
Fabregas are on 9 yellow cards for the season.
If either of them pick up a 10th in the QPR
game they would be suspended for two games
which would be the Man U and Arsenal games.
If the decisions was yours, would you leave
them out of the match day squad for QPR? Play
them? Or bench


Mkuu hili ni tatizo na kuna dalili watakosa michezo tofauti hawa wachezaji wote wawili hasa ukizingatia fitina za waamuzi wa EPL.

Lkn km Mimi ndio Mourinho mchezo wa QPR nawapanga tu wacheze kwasababu mchezo uliopo sasa ninaocheza ni muhimu sn kuliko hiyo mingine inayokuja!
 
Its a headache hapo labda kwa game ya QPR amweke Mikel Matic apumzike...au acheze na Oscar nafasi ya Fabregas...Hazard apige 10..willian kushoto n cuadrado kulia
 
Its a headache hapo labda kwa game ya QPR amweke Mikel Matic apumzike...au acheze na Oscar nafasi ya Fabregas...Hazard apige 10..willian kushoto n cuadrado kulia

Mentor uwezekano ni mdogo sn hawa watu kukosa kadi za njano ktk michezo hiyo hasa Matic. Kwahiyo ktk michezo hiyo ya Man na Arsenal kuna mchezaji mmoja lazima tutamkosa! Au wote kutokana na hila za waamuzi!

Ila mchezo na QPR wapangwe wote ili kujihakikishia ushindi hayo ya kadi yatajulikana mbele kwa mbele!
 
Last edited by a moderator:
Mentor uwezekano ni mdogo sn hawa watu kukosa kadi za njano ktk michezo hiyo hasa Matic. Kwahiyo ktk michezo hiyo ya Man na Arsenal kuna mchezaji mmoja lazima tutamkosa! Au wote kutokana na hila za waamuzi!

Ila mchezo na QPR wapangwe wote ili kujihakikishia ushindi hayo ya kadi yatajulikana mbele kwa mbele!

Am just thinking our bench has enough quality kiasi kwamba sina hofu sana...

Nafasi za Matic na Fabregas zinaweza kuwa replaced na; Zouma, Mikel, Ake, Oscar, Ramires, na dogo mmoja jina limenitoka wa youth team...sina hofu kabisa hata wakipewa red am sure kwa mahali tulipofika we are sooo motivated for the cup yeyote atakayepangwa ata perform kama fainali tu!!!
 
Last edited by a moderator:
Am just thinking our bench has enough quality kiasi kwamba sina hofu sana...

Nafasi za Matic na Fabregas zinaweza kuwa replaced na; Zouma, Mikel, Ake, Oscar, Ramires, na dogo mmoja jina limenitoka wa youth team...sina hofu kabisa hata wakipewa red am sure kwa mahali tulipofika we are sooo motivated for the cup yeyote atakayepangwa ata perform kama fainali tu!!!


Good Mentor.

Na uzuri ni kwamba Obi ameshapona kabisa na hiyo michezo anaweza kucheza kabisa!

Sasa hapo ktk nafasi ya Faby na Matic watasimama Obi na Ramirez hasa kwa mchezo wa ManU km hawa wawili watakua dismissed. Na ule mchezo wetu na Arsenal hapo kati atapangwa Zouma na Obi na Ramires au Oscar! Hapa hapiti mtu aisee!

Yani wawape tu hizo kadi ili waone moto!
 
Last edited by a moderator:
Am just thinking our bench has enough quality kiasi kwamba sina hofu sana...

Nafasi za Matic na Fabregas zinaweza kuwa replaced na; Zouma, Mikel, Ake, Oscar, Ramires, na dogo mmoja jina limenitoka wa youth team...sina hofu kabisa hata wakipewa red am sure kwa mahali tulipofika we are sooo motivated for the cup yeyote atakayepangwa ata perform kama fainali tu!!!

Ni sahihi kabisaaa... Zouma ashike CDM, kwa fab apewe Ramirez.. QPR ni gemu sahihi kwa Oscar ila kwa utd na gunners tunamuhitaji John Obi Mikel "MSWAHILI"... Mbele Remy na King Didier Yaves Drogba (Hasa kwa gunners, Atawafunga huyu)
 
Ni sahihi kabisaaa... Zouma ashike CDM, kwa fab apewe Ramirez.. QPR ni gemu sahihi kwa Oscar ila kwa utd na gunners tunamuhitaji John Obi Mikel "MSWAHILI"... Mbele Remy na King Didier Yaves Drogba (Hasa kwa gunners, Atawafunga huyu)


Kwa ManU Obi na Ramires na Oscar hawa wanatakiwa kuanza kwasababu! Tunahitaji kucheza mpira wa kasi na kushambulia na ukumbuke pale mbele atakuwepo Remy striker mwenye kasi!

Ule wa Arsenal tunahitaji kujilinda sn hivyo Obi,Zouma na Ramires wanatakiwa wawepo ili kuvunja vunja tule tukina Sanchez na Cazorra na Ozil...mbona kz wataipata hawa gunners.
 
Ni sahihi kabisaaa... Zouma ashike CDM, kwa fab apewe Ramirez.. QPR ni gemu sahihi kwa Oscar ila kwa utd na gunners tunamuhitaji John Obi Mikel "MSWAHILI"... Mbele Remy na King Didier Yaves Drogba (Hasa kwa gunners, Atawafunga huyu)

Mara nyingi kumweka Mikel kunapunguza sana speed ya mchezo sipendelei yeye atumiwe...nachojua wote wawili hawatakosa mechi moja pamoja...so najua Mou atajua kupanga kikosi kuendana na muda huo ila sio Mikel.
We need to press these people. Rami atafaa sana kwa hizo game mbili..oscar acheze game ya QPR...Remy sadly ndo striker tunayemtegemea ingawa bado hajawa clinical kivile ni vile tu anajituma.

Am sure in one of these games lazima Zouma aanze kama CDM.
 
Mara nyingi kumweka Mikel kunapunguza sana speed ya mchezo sipendelei yeye atumiwe...nachojua wote wawili hawatakosa mechi moja pamoja...so najua Mou atajua kupanga kikosi kuendana na muda huo ila sio Mikel.
We need to press these people. Rami atafaa sana kwa hizo game mbili..oscar acheze game ya QPR...Remy sadly ndo striker tunayemtegemea ingawa bado hajawa clinical kivile ni vile tu anajituma.

Am sure in one of these games lazima Zouma aanze kama CDM.

Yeah... Obi anapunguza kasi, Lakini yuko vizuri katika kumiliki mpira(Anakaa sana na mpira), pia ni Mtu ambaye ana piga pasi za uhakika sana (tena za aina zote) na ana stamina nzuri sana... Mungu asaidie tupige hawa watu tunyanyue ndooo... Inabd hata sherehe tufanye aseeh
 
Kwa ManU Obi na Ramires na Oscar hawa wanatakiwa kuanza kwasababu! Tunahitaji kucheza mpira wa kasi na kushambulia na ukumbuke pale mbele atakuwepo Remy striker mwenye kasi!

Ule wa Arsenal tunahitaji kujilinda sn hivyo Obi,Zouma na Ramires wanatakiwa wawepo ili kuvunja vunja tule tukina Sanchez na Cazorra na Ozil...mbona kz wataipata hawa gunners.

Piga haoooooo
 
Mara nyingi kumweka Mikel kunapunguza sana speed ya mchezo sipendelei yeye atumiwe...nachojua wote wawili hawatakosa mechi moja pamoja...so najua Mou atajua kupanga kikosi kuendana na muda huo ila sio Mikel.
We need to press these people. Rami atafaa sana kwa hizo game mbili..oscar acheze game ya QPR...Remy sadly ndo striker tunayemtegemea ingawa bado hajawa clinical kivile ni vile tu anajituma.

Am sure in one of these games lazima Zouma aanze kama CDM.


Kwa jinsi Gunners walivopata matokeo mazuri hivi karibuni mchezo watu na wao pale Emirates Mou lazima atawapanga Obi na Zouma km Matic hatokuwepo unaweza ukarejea mchezo wetu na LFC wa ugenini ktk kombe la Captal One.. Mou alimpanga Matic na Obi kuimarisha ulinzi! Na hiyo nafasi ya Faby atachukua Ramy kwasababu huyu nae ni mzuri kuliko Oscar kwa ukabaji na kupandisha timu! Kwahiyo huenda atapangwa km Faby akiwa hayupo!

All in all bado tuko vzr kabisa ata km tutawakosa hawa wote! Ila mchezo wetu na Arsenal tunahitaji kua imara sn ktk ulinzi kuliko kushambulia!
 
Kwa ManU Obi na Ramires na Oscar hawa wanatakiwa kuanza kwasababu! Tunahitaji kucheza mpira wa kasi na kushambulia na ukumbuke pale mbele atakuwepo Remy striker mwenye kasi!

Ule wa Arsenal tunahitaji kujilinda sn hivyo Obi,Zouma na Ramires wanatakiwa wawepo ili kuvunja vunja tule tukina Sanchez na Cazorra na Ozil...mbona kz wataipata hawa gunners.

Naona unamaliza game yote mdomoni,ushakuwa kama kaka yangu eeh,lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom