Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Point ni kwamba mourinho being home,kuwa na advantage ya away goa at first leg plus psg kuwa na nyekundu kwa kocha mwenye akili chelsea walipaswa wadominate game muda mwingi na wasiwaruhusu psg kukaa na mpira kwa yoyote mwenye akili angetumia mbinu hyo,badala yake eti mnaemuita special 1 anafanya sub kumuingza zouma how do u explain that?
No excuse kwa kupoteza mchezo wa jana

I think blame yote mimi ningewatupia wachezaji. Mou did his best kupanga kikosi best kushambulia na kukaba.

Wachezaji walichezea sana mipira kuhangaika kupiga chenga kama Arsenal huku hawamjaribu kipa.

Zouma aliingia kucheza namba sita ya Matic kwani alihofia kuwa atapata kadi plus fatigue. And Zouma did a fairly good job.

Heads up Chelsea...lets now go for the EPL...UCL next season!!!
 
11042654_901905046540108_6158634797019377450_n.jpg

Daah!walipagawa
 
Hongera sana #PSG kwa kuvuka hatua hii, wamestahili.

Makosa yetu ya kushindwa kudefend kona yametugharimu.

Hawa jamaa wanajua sana kutumia vichwa vyao, sijui kama Mou alilijua hili kabla.

Makosa ya kushindwa kudefend mipira ya kutenga liliwahi kujitokeza siku za nyuma na jana limejirudia. Kwa makosa yale hatukustahili kuvuka.

Mchezo uliopita tulipokuwa ugenini (Paris), huu udhaifu ulijitokeza na ndio lile goli lao la kusawazisha likapatikana(header), na tukakoswa koswa sana, na zote ni header.

Huu udhaifu ndio umetugharimu, Mou arekebishe hili tatizo.

Ni ujinga mchezo muhimu kama ule kuruhusu mpinzani kusawazisha mara 2.

Tutaonana mwakani UEFA. TUJIPANGE UPYA.

Safari hii UEFA imetushinda.

Pongezi zangu za dhati kabisa ziwaendee #PSG , ni timu bora.

THEY DESERVED!
 
I think blame yote mimi ningewatupia wachezaji. Mou did his best kupanga kikosi best kushambulia na kukaba.

Wachezaji walichezea sana mipira kuhangaika kupiga chenga kama Arsenal huku hawamjaribu kipa.

Zouma aliingia kucheza namba sita ya Matic kwani alihofia kuwa atapata kadi plus fatigue. And Zouma did a fairly good job.

Heads up Chelsea...lets now go for the EPL...UCL next season!!!

Umeongea point sana mou hana kosa ni players walizingua pasi kibao nje ya box wabashindwa kuingia ndani.
 
I think blame yote mimi ningewatupia wachezaji. Mou did his best kupanga kikosi best kushambulia na kukaba.

Wachezaji walichezea sana mipira kuhangaika kupiga chenga kama Arsenal huku hawamjaribu kipa.

Zouma aliingia kucheza namba sita ya Matic kwani alihofia kuwa atapata kadi plus fatigue. And Zouma did a fairly good job.

Heads up Chelsea...lets now go for the EPL...UCL next season!!!

Unamtetea bure tu swahiba kocha wenu jana kachemka alipaswa ahamasishe wachezaji kukaba kwa spidi tena ktk zone ya psg coz wako pungufu sio wasubirie mpk wawafuate
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Keep calm and trust mourinho!!!! Tatizo watu wanasahau kuwa cl sio kitu rahisi kihivyo mpaka uchukue inabidi uwe na very matured team, sasa ikumbukwe kuwa hii ni newgen chelsea na haina hata makombe ndo kwanza tumeanza na capito and tusisahau alipotutoa mou, ligi hatujashinda since 2010 but now we are on course to win it hiyo inaonesha namna team inavyodevelop sasa plastic fans mnakuja hapa na kuanza kumtukana mou wakati we were very poor and unstable kabla hajaja.... Cha msingi kuweni wavumilivu msimu huu ligi msimu ujao uefa hiyo ndio trend sio ghafla tu mnataka mbebe kila kitu, psg ni kikosi kilichokomaa kwani wachezaji wake wako pamoja for a long tym xcept luiz

Nakupa like kiongz, afu kwa nn wasiisifu na PSG jamaa walicheza vzr hata walipokuwa wanafungwa walikuwa wanatulia then wanasawazisha, afu wanaosema mou atoke daah! Kweli shukran ya punda.....
 
haters mtachonga sana. game hii psg wameshinda kwa bahati. mara 2 zote tulizowafunga wamechomoa "jioni".
Ninyi pia mmetolewa kwa bahati.
Kwa nini uite watu ,"Haters"?

Unaweza waita "watani" au "wanogesha" jukwaa la Chelsea.

Omboleza msiba wako kwa amani, usitafute kuamsha mizuka ya "haters" wakakuharibia "mood" yako zaidi ya PSG walivyofanya na kuzidi kukuzingua.

Unapocheza mechi uwezekano ni kushinda, kushindwa au kutoka suluhu. Usisahau hilo.
 
Bayern atachukua kombe.
Hilo halitatokea. Matokeo ya Mechi ya jana na ile timu ya walalahoi ,tena wakiwa pungufu yasikudanganye.

Unajua kuwa kuna mchezaji wa timu ya walala hoi alipewa red ?
 
kwa mawazo yangu mechi ya jana iliamuriwa kwa mental strength. mchezo ulikuwa mzuri kabla ya red card. PSG walikuwa very physical na kulikuwa na fauls nyingi sana at the back of the referee ambaye alistuka tu kukuta watu wako on the ground. nadhani wasaidizi wake hawakumsaidia sana refa kwenye hili. kwa mfano Tiago alimpiga pepsi Costa. refa hakuona lkn nadhani linesman na yule jamaa wa golini (sijui wanaitwaje wale) wangeweza kuona na kumweleza refa kwenye mawasiliano yao. Tiago angepigwa red bila ya ubishi. Costa nae alipompiga pepsi Luiz nae angepata red. Luiz alipompiga pepsi Costa nae lia alistahili red. Hizi early warnings zingeset amani uwanjani na ile 'faul' ya Ibrahimovic kwa Costa isingeonekana faul manake haikuwa faul ila wawili wale wote walikutana sakafuni wakiuwahi mpira. tatizo by that time tayari Chelsea walishalalamika sana kuhusu fauls za PSG ambazo zilipita unnoticed na pia unproportionality ya size ya Oscar na Ibra kitu ambacho kilifanya ionekane Ibra kamwonea Oscar!

Kutoka kwa Ibra kuliuharibu mchezo wa jana. PSG wakawa less daring na Chelsea wakapoteza mwelekeo. Hawakuwa na game plan ya wafanye nini baada ya kuwa a man more uwanjani. na kubweteka kuka settle in. walijua the war is won, while the battle was still continuing. Kwa hili binafsi namlaumu Maurinho manake alipaswa kustep forward na kutoa uelekezi wa nini kifanyike.

Nilishukuru kuingia kwa Willian 2nd half manake Oscar alichokuwa akikifanya alikijua mwenyewe. Lakini kitu kignine nilichokiona ni kuwa hatukuwa na game sharpness ambayo nadhani ni kwa sababu ya kukosa mechi za kucheza baada ya kutoka kwenye FA. nadhani ile pressure ya mechi week in week out inaongeza sharpness ya uchezaji na utoaji wa maamuzi, japo inaumiza physically. nadhani kama tungekuwa tumecheza jumamosi iliyopita, say kwenye FA au Premier, kuna passing, agility na hata ukabaji ambao ungekuwa makini zaidi.

Kwa namna moja ni somo lingine kwa vijana kuwa Champions League ni ligi ya mabingwa kutoka kwenye nchi mbalimbali. so huwezi kubweteka mpaka mechi iishe. na kuchukua ubingwa wa ulaya ni ngumu sana. no wonder hakuna aliyeweza kuutetea ubingwa wake wa Ulaya. kwa matokeo na echezaji wetu wa jana kwa mawazo yangu, wachezaji walaumiwe lkn pia Maurinho nae ana sehemu ya lawama za kubeba. nadhani hakutoa uelekezi makini na sahihi wa namna ya kucheza, hususan baada ya sisi kuwa na one man advantage.

Kama walivyosema wengine, hili sasa limepita na kama timu yenye malengo makubwa, tugeukie premier na tuhakikishe tunalibeba kombe kabla ya mechi kadhaa. uwezo tunao na sababu tunayo. ni nia tu na kuweka vitendo viwanjani. ile advantage waliyokuwa nayo Man City na Liverpool kwama jana sasa imehamia kwetu. kuwa hatuna tena mashindano ya kushiriki hivyo michezo itakuwa weekend kwa weekend.
 
Hilo halitatokea. Matokeo ya Mechi ya jana na ile timu ya walalahoi ,tena wakiwa pungufu yasikudanganye.

Unajua kuwa kuna mchezaji wa timu ya walala hoi alipewa red ?
sasa we unaona nani yupo vizuri?maana hata real madrid hawajatulia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom