Point ni kwamba mourinho being home,kuwa na advantage ya away goa at first leg plus psg kuwa na nyekundu kwa kocha mwenye akili chelsea walipaswa wadominate game muda mwingi na wasiwaruhusu psg kukaa na mpira kwa yoyote mwenye akili angetumia mbinu hyo,badala yake eti mnaemuita special 1 anafanya sub kumuingza zouma how do u explain that?
No excuse kwa kupoteza mchezo wa jana
Unamtetea bure tu swahiba kocha wenu jana kachemka alipaswa ahamasishe wachezaji kukaba kwa spidi tena ktk zone ya psg coz wako pungufu sio wasubirie mpk wawafuate
Umesahau the Gunners. Anajua hauamini...!!PSG, Porto, Monaco, Barca.
Matic Ni majeruhi Na Obi Ni majeruhi sasa unataka kusema nani angeingia ktk hiyo nafasi ya kiungo mkabaji? Mbona mnaongea vitu msivyovijua? We unafikiri Matic km angekua mzima angeweza kutolewa Jana?
...Kusherekea !Zamu yetu next week.
Tatizo haikuwa kutoka Matic bali Jose alishindwa kubadili tactic baada ya jamaa kuwa pungufu mkawa mnacheza like mko 11 vs 11 kibaya zaidi mkarelax mnaona droo inatosha.Hii game ilikuwa unamtoa Costa ambae alishapanic kuanzia mwanzo anaingia super sub Schurle sio Drogba kwa sasa hawezi badili game kama hizo .Ukiacha Hazard kule mbele wote walichemsha
Kuna points fulani sioni mkizisema ingawa naona Manumbu amegusia. Kwa kifupi mpira WA Jana ulikua Ni mbaya kwa pande zote. Na psg walikua hawana njia ingine ya kuwazuia Chelsea zaidi ya kuwachezea rafu. Hilo walifanya kwao huko France Na Jana poa ndio ikawa hivyo kabisa. Sasa hapa ktk mazingira haya ntakushangaa wewe kusema Hazard alichemka. Huu mpira ulitawaliwa Na mambo Mengi sn Na vurugu nyingi.
Bado nafanya tathimini Na kupitia habari mbalimbali nitakuja hapa tujadili Hilo.
Wakuu eti nasikia watu
wanasema kuna sheria ya kwamba nchi nzima timu zake zimeshindwa kuingia
hatua ya robo idadi ya timu inapunguzwa hadi timu tatu baadala ya nne.
je kuna ukweli wowote wakuu??
Ntuzu Mentor Manumbu kalou Viol na #WanaChelsea wote poleni sana na dhahma za janaKuna points fulani sioni mkizisema ingawa naona Manumbu amegusia. Kwa kifupi mpira WA Jana ulikua Ni mbaya kwa pande zote. Na psg walikua hawana njia ingine ya kuwazuia Chelsea zaidi ya kuwachezea rafu. Hilo walifanya kwao huko France Na Jana ndio ikawa hivyo kabisa. Sasa hapa ktk mazingira haya ntakushangaa wewe kusema Hazard alichemka. Huu mpira ulitawaliwa Na mambo Mengi sn Na vurugu nyingi.
Bado nafanya tathimini Na kupitia habari mbalimbali nitakuja hapa tujadili Hilo.
Wakuu eti nasikia watu wanasema kuna sheria ya kwamba nchi nzima timu zake zimeshindwa kuingia hatua ya robo idadi ya timu inapunguzwa hadi timu tatu baadala ya nne. je kuna ukweli wowote wakuu??
Kuna points fulani sioni mkizisema ingawa naona Manumbu amegusia. Kwa kifupi mpira WA Jana ulikua Ni mbaya kwa pande zote. Na psg walikua hawana njia ingine ya kuwazuia Chelsea zaidi ya kuwachezea rafu. Hilo walifanya kwao huko France Na Jana ndio ikawa hivyo kabisa. Sasa hapa ktk mazingira haya ntakushangaa wewe kusema Hazard alichemka. Huu mpira ulitawaliwa Na mambo Mengi sn Na vurugu nyingi.
Bado nafanya tathimini Na kupitia habari mbalimbali nitakuja hapa tujadili Hilo.
Schuller alishauzwa kwa Wolfsburg ya Germany.Mourinho kama kawaida yake haonagi mbali, ni kocha wa kudonoadonoa na kubahatisha. Dogo Schuller ni mbaya ila Mourinho hakuwa anampa nafasi sababu sio defensive minded mpira anaochezesha MourinhoTatizo haikuwa kutoka Matic bali Jose alishindwa kubadili tactic baada ya jamaa kuwa pungufu mkawa mnacheza like mko 11 vs 11 kibaya zaidi mkarelax mnaona droo inatosha.Hii game ilikuwa unamtoa Costa ambae alishapanic kuanzia mwanzo anaingia super sub Schurle sio Drogba kwa sasa hawezi badili game kama hizo .Ukiacha Hazard kule mbele wote walichemsha
Schuller alishauzwa kwa Wolfsburg ya Germany.Mourinho kama kawaida yake haonagi mbali, ni kocha wa kudonoadonoa na kubahatisha. Dogo Schuller ni mbaya ila Mourinho hakuwa anampa nafasi sababu sio defensive minded mpira anaochezesha Mourinho
Baada ya ibrahimovich kutoka walichofanya PSG no kupunguza tempo ya game cha ajabu chelsea nao wakaiga hio style ya kupiga pasi fupi huku wanatembea! Slow tempo iliwafavor PSG coz walikuwa wachache wasingeweza Ku run around. Kama Chelsea wangeongeza temp wale PSG wangechoka around 70th minute hivi na Chelsea kushinda kirahisi! Unaenda extra time na time iko pungufu hata tofauti haionekani! Kuna issue hapo!
Ni kweli, kama timu zote za Uingereza zitatolewa nafasi yake ya kuingiza timu nne CL na nafasi hiyo itachukuliwa na Ufaransa. Nchi tatu tu ndo uingiza club nne CL na mara nyingi nchi za Uingereza, Hispania na Italy ndo waliokuwa na hiyo chance kwa sababu timu zake kufanya vizuri kila msimu. Lakini kuanzia 2011 nafasi ya Italy ilichukuliwa na Ujerumani baada ya timu zake kuanza kuboronga kwenye michuano hii. Kwahyo timu Asernal na Man U kaeni chonjo maana mtaanza kugombania big 3 na sio big 4 tena😛