slimhamimu
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 327
- 114
Wengine tupo porini jamani tupeni matokeo
timu au vilabu ya uarabuni vikishashinda mechi ya kwanza wanalala kabisa uwanjani mda uende,chelsea wanasaka kabumbu,sasa kama chelsea wanapaki basi kwanini timu zingine zikikutana nazo wasibuni mbinu za kutoa basi??Ni kweli mimi napenda balanced game. Kuna mechi za chelsea ni bora kuangalia championship matches.
Hiyo unayopenda wewe , kushinda mechi bila kucheza mpira ndio wengi wanamponda Mou kwa kuharibu kabumbu kwa mbinu ya ku-pack basi.
Kama uliangalia jana Barsel na Porto. Barsel hawakukaa tu kulinda lango hata pale walifungwa...that is football. Wala Porto baada ya mabao 2 hawakujikalia na ku-pack basi...Thats is football.
dk ya 72,CHELSEA 0-PSG 0.Wengine tupo porini jamani tupeni matokeo
dk ya 68,chelsea 0-PSG 0
usijali goli kupita kwenye nyavu ya chelsea ni sawa na ngamia kupenya tundu la sindanonaona bado wanacheza na shilingi chooni, psg wakifuma kagoli tu basi itakuwa patashika nguo kuchanika uwanjani kwa chelsea. Dakika ya 69 bado 0-0
Naona bado wanacheza na shilingi chooni, PSG wakifuma kagoli tu basi itakuwa patashika nguo kuchanika uwanjani kwa Chelsea. Dakika ya 69 bado 0-0
Watu mnaliga kelele kuhusu kadi mnasahau kua hawa PSG mbinu wanayotumia kuwazuia chelsea ni kuwachezea rafu. Hili lilionekana tangu game ya kwanza kule kwao
ligi kuu inamsubiri,usimponde anayeshinda mpe support na umwombe mbinu akupige tafuhii tactical approach ya rentboys ndiyo unafanya nimwone maureen mjanja mjanja....sasa upo kwenye home turf, una advantage ya goli moja la ugenini, una advantage ya idadi ya wachezaji, kisha unapaki basi kwako?!?
Hii tactical approach ya rentboys ndiyo unafanya nimwone Maureen mjanja mjanja....sasa upo kwenye home turf, una advantage ya goli moja la ugenini, una advantage ya idadi ya wachezaji, kisha unapaki basi kwako?!?
kwa timu gani mkuuKuna harufu ya red card nyingine
Jamaa wanafanya mdhaha ngoja wafungwe.
Refa anawabeba kabisa Chelsea,kama Zlatan alipewa red hii ya Costa nayo ni red card