Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mupenziiiiiiiiiiii mwambie leo ARIE TU.

BAK acha tu humu kuna mpenzi utaniharibia bure,lol.....ngoja game liishe,mimi kwakweli nilisema mwanzo hata kupredict magol nilishindwa,ila yote kwa yote PSG ni vidume.
 
Tuna mechi ngumu sana leo kaka, jamaa wametuzidi ujanja kiasi, maaana wamefanikiwa kuliziba kabisa pengo la Ibra na wanacheza kama wako timamu


Mipango mibovu tu mbona kwao tulicheza vzf
 
Tiago Silva...!

B_2VLh3UIAEYgHz.jpg
 
Yani PSG wapo pungufu lakin Chelsea bado wanahenya hivyo...lols
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom