Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

_81327259_johnterry_celebrates_getty.jpg
_81325237_chelsea_flags_reuters.jpg
 
USHINDI raha sana. haters wote wameenda kumbonji wametuachia uwanja. The Blues Forever!
 
Usimchezee Mourinho kabisa, ni master wa hii kitu, noma sana. Wengi walisema tunafungwa kwasababu ya kukosekana kwa Matic, sasa sijui watasemaje tena!


Full shangwe, Leo ni siku njema sana.
 
Usimchezee Mourinho kabisa, ni master wa hii kitu, noma sana. Wengi walisema tunafungwa kwasababu ya kukosekana kwa Matic, sasa sijui watasemaje tena!


Full shangwe, Leo ni siku njema sana.

nafasi ya Matic akamweka Zouma ...wakati mwingine mourinho kumuelewa ni kazi kweli...
 
nafasi ya Matic akamweka Zouma ...wakati mwingine mourinho kumuelewa ni kazi kweli...

Kweli ni kazi sana. Me nilishindwa kumuelewa, ila kane leo alikuwa hachezi kabisa cahil alimbana sana na zouma akizuia mipira mingi ya hatari na kumfanya Kane achoke kabisa
 
Eti watani zetu liva, aseno & manyu naomba niwaswalike swali: Hivi hili kombe la mbao? Je, kama ni la mbao mnalo au baba yenu analo? Heheheeee! Mtajibeba!
 
ahahahahaha.
ukiwa shabiki wa timu bora rahaa sana wajameni!
morinho the special one analeta ndoo ya kwanza hiyooo!
 
Siyo kweli, Kumbuka wakali darajani walivyokutemesha taji mwaka jana.

Ndugu post nyingine ni 'coded' lazima uwe kwenye same wavelength ili ujue zina maana gani! BTW I'm not Liverpool fan nilikuwa namsanifu huyo jamaa wa liverpool
 
hongera kwetu sote wana blues. ni ushindi mtamu sana. the rest of the teams zimetulia tuliiii zikitu admire tunavyofurahi. they will hate us more...na come wednesday tunapanua tena pengo la points kuwa 8. tutachukiwa sana mwaka huu...lkn makombe yanatua tu darajani! One down two to go...!!!
 
Niwashukuru sana ma-engeneer wetu william na harzad kwa kuchora rraman ya magoli yaliyo sainiwa na kippitishwa na john terry na diego costa. Michoro yote ya magoli ilidhinishwa na jose morinho...assanten sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom