Blac kid
Game imeanza sasa
ishanza tayariGemu inaanza saa ngapi?
ishanza tayari
Ramires amenawa mpira katika harakati za kuokoa...nafkiri angekuwa mchezaji wa Tot Mourinho angepata cha kuongea..
refa mpira umemshinda
Daaah bao lenyewe mng'ang'ane mng'ang'ane
MAJOGOO ndiyo wawe wanacheza kila fainali
Watu wamelipa kuona soka maridadi na soka hilo wataliona kwa MAJOGOO tu kwa sasa
Liverpool ni Barca ya Uingereza