Kwema kabisaa tinasbria muda ufike tukabidhiwe kombe letu leo hii
Hata nyie sasa najua mnayaogopa MAJOGOO
Pia kuna mtu anaitwa hazard costa na william co wazr kabisaa
Kick off SAA ngapi?
Kick off SAA ngapi?
Hata nyie sasa najua mnayaogopa MAJOGOO
Ndugu zanguni MAJOGOO yamewika Anfield
Kwema hapa jamani?
Hayo mambo ya zamani kaka,kumbuka hata Man City alitupiga 3Tujikumbushe michezo mitatu uso kwa uso kati ya Chelsea na Liverpool msimu huu.
Chelsea ameshinda michezo miwili na amepata draw moja na LFC kapata draw moja tu lkn mingine yote kapigwa KO sasa sijui nani anamuogopa mwenzake?
Teh teh teh teh teh teh teh..................
Hayo mambo ya zamani kaka,kumbuka hata Man City alitupiga 3
Kumbuka hata ww ulishinda 2-1 kiurahisi tu kwangu lkn Capital one ukashinda kwao Darajani kwenye dakika 120
Kikubwa zaidi ktk points 33 za mechi 11 tumepoteza points 6 tu tumekusanya points 27!Stats hizi zinaonyesha unayaogopa MAJOGOO