Matokeo Chelsick 2 - 2 Aponel khe khe haya msiba utaisha kweli? Wenzenu Manure Owen kaona mwezi khe khe khe khe
Walimchapa bao tatu kavu! lolWacha naona umewakamia sana Chelsea walikufanya nini?
Wacha naona umewakamia sana Chelsea walikufanya nini?
our only concern should be Essien's injury, hope it's not serious one.
![]()
Baada ya kukung'utwa na Blackburn haikuwa hoja, kichapo cha Man City hakikutosha. Jana karibu na dakika za majeruhi timu inayoshikilia mkia hawakukubali kwenda na goli la vikongwe, ati ndio hii timu walisema watashinda kila mechi. Mifuko ya Abramovich kwishnei - imeshatoboka nini? Recession hiyo hadi darajani.
Week moja imeisha tunaenda nyingine, tunahitaji kumaliza matanga.
Tuwekee basi na picha za Olympiakos 1-0 Arse, pia za Loserfools 1-2 Fiorentina.
Liverpool utawaona watakavyojitutumua wakicheza na ArsenalIla Liverfool ni vibonde sana in the last 14 game all competitions wameshinda mechi 3 duuu nadhani hata Jumapili watapigwa na timu ya watoto Arse