Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Jamani kuna msiba hapa msilete masihara! Hatufahamu matanga yataisha lini.
(No pictures please.)

hughes595gi.jpg


Khe khe khe
 
Yes, we lost the game, fairly and square. We have mourned, clean the sores and we are ready for next challenge!
 
Yes, we lost the game, fairly and square. We have mourned, clean the sores and we are ready for next challenge!
safi sana rev huo ndio ushabiki sio unakuja kunishambulia kwenye jukwaa langu nikifungwa alafu wewe unajificha ha ha ha.waambie invisible na masanilo nao watoke walipojificha.
 
Wakati rambi rambi zikiendelea kutolewa kwa peasant masamilo kigogo habari muhimu zimetinga JF kwamba gari la Mafia kutoka Russia lilipotea njia kule Eastlands na kuelekea kwenye bwawa la kuogelea hivyo kuwafanya wachelewe kutoa mgao muafaka wakati mechi inaendelea.

Vile vile Traffic Police wa Eastlands waliwasimamisha baada ya kulishuku gari lao ambalo ilikuwa linakwenda zaidi ya maili 80 kwa saa na kupewa ticket na dereva kukatwa points.

Hilo lilitokana na mvua kubwa iliyokuwa inanyesha na kufanya satellite ishidwe kutoa habari muhimu kwenye kinasio cha Tom Tom. Romano Abramovich hakupendezwa na hilo hivyo ameamuru lazima kuwe na Mwingereza kwenye kila msafara kwani kutawapunguzia usumbufu wa kupoteza mechi.
 
Teh teh teh teh msikonde.







MAN-CITY_splash_942994a.jpg
 
"We don't have any reason to be worried,It will be a race until the end of the season but we are still top of the league and have two more points than Manchester United so we do not need anything extra." Carlo Ancelotti.
 
376,http%3A%2F%2Fa323.yahoofs.com%2Fymg%2Fpaul_parker%2Fpaul_parker-775790085-1260198008.jpg%3Fym4xqUCD_7VzjhOt


Don't ask me about those seven (7) yellow cards!
 
masanilo kahamia kwenye jukwaa la kombe la chalenji anaishangilia zanzibar anasema anakaa mbali na timu ya presha ya chelsea kwa sasa mpaka waanze kushinda ndio atarudi ha ha ha.
 
masanilo kahamia kwenye jukwaa la kombe la chalenji anaishangilia zanzibar anasema anakaa mbali na timu ya presha ya chelsea kwa sasa mpaka waanze kushinda ndio atarudi ha ha ha.

Naona kaamua kutokomea kabisa..Kaamua kulitekeleza Jukwaa lake aisee.Unacheza na kichapo nini
 
Naona kaamua kutokomea kabisa..Kaamua kulitekeleza Jukwaa lake aisee.Unacheza na kichapo nini

ha ha ha kukimbia kwake ndio kunafanya watu wamsubiri angekuwa katokea saa hizi watu washa move on .mkuu huwa anachonga sana sasa naona katoweka kweli tevez kiboko.
 
Masanilo kasafili, yupo na Taifa Stars....natumaini atakuwa ameambiwa matokeo kuwa
Man City 1 -- Chelsea 2.....anavyofahamu masanilo ni kuwa chelsea ni mshindi.....tehetehe
 
Masanilo kasafili, yupo na Taifa Stars....natumaini atakuwa ameambiwa matokeo kuwa
Man City 1 -- Chelsea 2.....anavyofahamu masanilo ni kuwa chelsea ni mshindi.....tehetehe

Mkuu nilikuwa nashangilia Zanzibar Kumfunga Zambia!

Tulifungwa sababu ya jezi nyeusi lOL
 
Naona unaamua kumshawishi Masanilo arudi kwenye jukwaa...hahaaaaa,safi sana.Atarudi tu na tunamsubiri kwa hamu sana

Hahahahahaahh ligi ya mwaka huu balaa tulipowafunga Arsenal nilijua tumekuwa mabingwa kumbe mhhhhh
 
Mkuu nilikuwa nashangilia Zanzibar Kumfunga Zambia!

Tulifungwa sababu ya jezi nyeusi lOL
ha ha ha mkuu huwe unakuja kujitetea si unaona sie huwa tupo tukifungwa au tukishinda.safi sana umerudi tatizo sio jezi nyeusi tatizo vijana waliwazidi kiufundi na nguvu pia.mmekuta na ugali pale wa de jong naona mkapotea kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom