Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Timu nizipendazo kwa moyo wangu

Chelsea

Yanga

Na Zanzibar

Hatimaye umeibuka mkuu...Pole sana kwa kichapo cha Chelsick na hongera kwa ushindi wa Zenji(Naona unaelemea zaidi mitaa ya huko aisee,usije ukasahau nyumbani Usukumani)
 
Ligi nzuri sana ya UK ila FIFA wanaujinga sana hakuna nominee wote wanatoka Spain....hivi jamani nani kama drogba duniani?
 
Ligi nzuri sana ya UK ila FIFA wanaujinga sana hakuna nominee wote wanatoka Spain....hivi jamani nani kama drogba duniani?

Tatizo lako Masanilo huwa unamanisha kitu fulani, hapa Drogba utakuwa umemuweka kwasababu alitutunguwa........all in all, sijajuwa kwanini hata Drogba wasimuweke nae!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! inawezekana wanautaratibu wao mkuu such that Drogba akaachwa!!!!
 
Nyie wote najua wapenda kandada hebu angalia Wigan 3 Chelsea 1, Chelsea 3 Tot 0, Totenham 9 Wigan 1 hahahaha hizi hesabu hazipandi kabisa....I love premier League
 
Tatizo lako Masanilo huwa unamanisha kitu fulani, hapa Drogba utakuwa umemuweka kwasababu alitutunguwa........all in all, sijajuwa kwanini hata Drogba wasimuweke nae!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! inawezekana wanautaratibu wao mkuu such that Drogba akaachwa!!!!

Mzee unajua kabisa kuna timu Droga kaifunga goli 10 kwenye mechi 11....mmhhhhhhhhh! Nashauri jezi Nyeusi noma, angalia na AV, WA na hawa MAN CITEH hahahahah ila tukikuna na nyie tunapiga blueeez
 
Tatizo lako Masanilo huwa unamanisha kitu fulani, hapa Drogba utakuwa umemuweka kwasababu alitutunguwa........all in all, sijajuwa kwanini hata Drogba wasimuweke nae!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! inawezekana wanautaratibu wao mkuu such that Drogba akaachwa!!!!
kuhusu drogba kukosa nadhani kitu ambacho wanaweza kukitumia kama kigezo cha kumuacha ni fujo alizofanya hile mechi ya champions league against barcelona.zaidi ya hapo hakuna kisingizio wanachoweza kutumia kwani drogba mwaka huu ni tishio baada kuweka maringo pembeni.
 
Matanga yanaisha leo rasmi wakati Chelsick watakapokumbana na vibonde walioshika mkia kwenye kundi lao. APOEL Nicosia. Kakuta anaanza kwa mara ya kwanza kwenye mchuano huu pale Darajani.




_46880957_chelsea466.jpg




_46880958_kakuta466.jpg



Kakuta ambaye amefanya kasheshe na kesi bado kuamuliwa.
 
Chelsea 0 - 1 Apoel

Naona Chelsick wanataka kuendeleza msiba khe khe khe khe .
 
Matanga yanaisha leo rasmi wakati Chelsick watakapokumbana na vibonde walioshika mkia kwenye kundi lao. APOEL Nicosia. Kakuta anaanza kwa mara ya kwanza kwenye mchuano huu pale Darajani.




_46880957_chelsea466.jpg




_46880958_kakuta466.jpg



Kakuta ambaye amefanya kasheshe na kesi bado kuamuliwa.

Chelsick washachapwa kimoja tayari cha mapemamapema na gemu inaendelea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom