refa tutampiga huyu mbona amalizi mpira?
Mimi nipo sijakwenda popote. Droo sio mbaya, japo tumefungwa magoli ya kizembe sana! Subiri zamu yako, bahati mbaya wewe ni coward hauna guts za kusema unashabikia timu gani!AB jitokeze tu na mwambie peasant kigogo nao wajitokeza bila hivyo mifuko itaendelea kutoboka.
Siku zake zinahesabika atakimbia tu mwenyewe ataona hapakaliki maana tutakuwa tunamsikitisha kila game!
masanilooooooooooooooo ngapi ngapi humu?
mkuu umeamua kurudi jukwaani bado tu matokeo magumu upande ndio ukubwa huo.Very discouraging...
Chelsea 2 - Everton 2
Half time
subiri zamu yako kesho
poleni jamani, bila Michael Essien hamuwezi kuzuia
Mimi nipo sijakwenda popote. Droo sio mbaya, japo tumefungwa magoli ya kizembe sana! Subiri zamu yako, bahati mbaya wewe ni coward hauna guts za kusema unashabikia timu gani!
Chelsea bila drogba inawezekana?
WACHA ngoja nikupe heshima zako toka uvamie hili jukwaa hawa watu wamepata kwikwi ya nguvu.Drog the bar ameanza ku-dive sasa aibu.
tatizo la anelka hajui kulazimisha magoli kama drogba.We ain't a one man band, we have a lot of quality to cover for him....I think is much harder to cover for Essien than Drogba. Anelka is more than capable of stepping into Drogba's shoes once asked, he did it last season.
kesho siogopi tushawaambia wakina fabregas wasipo rudi naushindi ni bakora tu wasilete ujinga hawawezi kupata advantgae kama hii ya leo.kwahio kesho kufa na kupona.subiri zamu yako kesho
Ok, tutakuonga wewe maana unaonekana ndio zako, bila rushwa kwako maisha hayaeindi ndio maana kila ukipanua mdomo ni rushwa tu unaongea. Unfortunately, only a fool can think that way!Khe khe khe, wewe si ulitaka kikombe November? Mara tena sio mbaya! Kwani ni lazima uwe na timu? Mlisema nitakimbia kabla ya huu mpira wa leo na mimi ndio nilikuwa na-update magoli hapa na kujaa kama pishi la udaga hadi Invisible alipokuja kuendeleza libeneke Usikonde ila ni lazima mchezo ujao mtoe kitu kidogo maana dalili ya mvua ni mawingu.
Eastlabds mlisema dreva alipotea na burungutu sasa Darajani sijui mtasema nini? khe khe khe
WACHA ngoja nikupe heshima zako toka uvamie hili jukwaa hawa watu wamepata kwikwi ya nguvu.
tatizo la anelka hajui kulazimisha magoli kama drogba.
kesho siogopi tushawaambia wakina fabregas wasipo rudi naushindi ni bakora tu wasilete ujinga hawawezi kupata advantgae kama hii ya leo.kwahio kesho kufa na kupona.