Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Heheheh mkuu naona ulikuwa umeegesha gari unasubiria kipenga cha mwisho tuu....Masanilo simu haina 'chaji', Invisible lazima atangaze System Maintenance usiku huu.

Watani poleni kwa kichapo..ndio ukubwa!!

lazima usubiri kipenga mkuu si unajua tena watu hawachelewi ku-quote comment humu ha ha ha.
 
Hodi wenyewe,mpo??,naombeni matokeo TANESCO wamenikatia umeme
ha ha ha ha mkuu matokeo ni 2-1 huku adebayor akifunga magoli ya pande zote mpaka half time.kipindi cha pili kamanda tevez akamaliza kazi huku shujaa wamchezo akitokea kuwa GIVEN baada kudaka penati ya lampard.


kutoka city of manchester stadium mimi ni mtangazaji wako wa jf AW.
 
naona wamekubali jukwaa litekwe ha ha ha.kama namuona masanilo aki -refresh page kwenye simu yake huku akipata bei na kushindwa aandike nini ha ha ha.
 
Hatujakimbia jamani, tupo! Tulikuwa pub tunacheck mechi na bia kwa sana! Anyway, I will be the first to raise my hand and say we didn't play that well, though the referee was equally crap! Dalili zilikuwa wazi tangu mwanzo tulipokuwa tunashindwa kucheza set pieces! Lakini ndio mpira, mpaka ifike May kutakuwa na a lot of twist and turns kabla bingwa hajatangazwa. Ahsanteni kwa wale mliootoa pole, na hongereni sana Le Arse, Manure and even Loserfool who managed to cut down one point from the lead!
 
Hatujakimbia jamani, tupo! Mechi kama hii inaangiliwa pub, hivyo ngumu kuwa online hapa JF for some reasons! Anyway,

Kumbe mnajua kwamba mezhi zaangaliziwa pub eeh,maana sie tukipotea pale Ashburton Grove mara tunapocheza huwa mnachonga sana kwamba ooh tumekimbia tumekimbia...Masanilo uli hale???
 
naona wamekubali jukwaa litekwe ha ha ha.kama namuona masanilo aki -refresh page kwenye simu yake huku akipata bei na kushindwa aandike nini ha ha ha.

Lazima waingie mitini maana wao ndio wanaongoza kwa kuwa-nanga wenzao wakifungwa ata kwenye mechi za Carling Cup.
 
Man City wamecheza mpira mzuri sana leo, sikujua kama hao jamaa huwa wanakipiga kipute kwa nguvu na kasi kiasi hiki.

Bao la Chelsea asingekuwa Adebayor leo ingekuwa 2 - 0. Ukitaka kujua kama timu imeelemewa angalia jinsi wanavyocheza rafu, maana mwanzo Refa alivumilia mwisho akaona imezidi ikabidi mvua za yellow card zianze kunyesha.

Shujaa wa mechi alikuwa Given, maana ile penalty kama ingeingia basi wangetoka ngoma droo. Huyo ndiye aliyewanyenyua Man City wakatoka 2 - 1.

All in all, leo Man City wamenitisha sana na nimewaogopa na kuwaheshimu. Si mshabiki wa Man City wala Chelsea lakini ukweli unabaki pale pale kwamba Chelsea walizidiwa game leo. Hawakufurukuta kabisa.

Fainali ya Carling Cup kama Man U watakutana na Man City, basi kuna kazi ya ziada. Maana ninaona kuna dalili zote za SAF kuanza kufukuzia makombe mengine ili asije akatoka mwaka huu, na hiyo mechi inaweza kuwa ngumu, kali na yenye ushindani wa kutosha. Siku hiyo SAF hataweka wale chekechea wake, itabidi aweke kikosi kamili.

Poleni sana Chelsea, angalau Man City amekuwa speed governor amewapunguza kasi yenu kwa kiasi kikubwa sana.
 
Masamilo na Kigogo wako wapi? Niliwaambia wasipotoa fweza kwishnei.
 
F..k! Just feel like going somewhere nobody knows me, and shower myself with lot of drinks (guess mojito will do the business), it's the game to forget! I'm off guys, enjoy your wkd!
 
Kumbe mnajua kwamba mezhi zaangaliziwa pub eeh,maana sie tukipotea pale Ashburton Grove mara tunapocheza huwa mnachonga sana kwamba ooh tumekimbia tumekimbia...Masanilo uli hale???

Ahsante mkuu, tumekubali leo tulkiuwa wabovu hakuna ubishi.
 
Lazima waingie mitini maana wao ndio wanaongoza kwa kuwa-nanga wenzao wakifungwa ata kwenye mechi za Carling Cup.
Kwi kwi kwi ....kazi ipo! Tupo pamoja mkuu, japo mambo ya weekends ndio kama hivi, usiku unaingia taratibu na watu tunatoka kwa kasi!
 
Man City wamecheza mpira mzuri sana leo, sikujua kama hao jamaa huwa wanakipiga kipute kwa nguvu na kasi kiasi hiki.

Bao la Chelsea asingekuwa Adebayor leo ingekuwa 2 - 0. Ukitaka kujua kama timu imeelemewa angalia jinsi wanavyocheza rafu, maana mwanzo Refa alivumilia mwisho akaona imezidi ikabidi mvua za yellow card zianze kunyesha.

Shujaa wa mechi alikuwa Given, maana ile penalty kama ingeingia basi wangetoka ngoma droo. Huyo ndiye aliyewanyenyua Man City wakatoka 2 - 1.

All in all, leo Man City wamenitisha sana na nimewaogopa na kuwaheshimu. Si mshabiki wa Man City wala Chelsea lakini ukweli unabaki pale pale kwamba Chelsea walizidiwa game leo. Hawakufurukuta kabisa.

Fainali ya Carling Cup kama Man U watakutana na Man City, basi kuna kazi ya ziada. Maana ninaona kuna dalili zote za SAF kuanza kufukuzia makombe mengine ili asije akatoka mwaka huu, na hiyo mechi inaweza kuwa ngumu, kali na yenye ushindani wa kutosha. Siku hiyo SAF hataweka wale chekechea wake, itabidi aweke kikosi kamili.

Poleni sana Chelsea, angalau Man City amekuwa speed governor amewapunguza kasi yenu kwa kiasi kikubwa sana.
Nimekubali mkuu,m leo tulikuwa hovyo, hasa finishing! Hao jamaa wa Manchester wanakutana nusufaili ya Carling cup.
 
Wiki iliyopita walisema wao mabingwa baada ya kuwabwaga Arsenal. Wakaenda nyumbani kwa Blackburn kwa kujiamini na kishindo wakapigwa magoli, jana wamekwenda Eastlands wamekula magoli na wachezaji wake saba (7) kuonywa kwa kadi za njano. Walitaka kikombe November khe khe khe.

Bado wanafikiria Umafia - mfuko wa Abramovich unaendelea kutoboka kwa recession naona John Terry itabidi alete za kutoka kwenye Bar wanakouza unga au Lampard alete za kutoka wizi wa bidhaa kwenye Super markets.

Hamna historia ya ushindi mnabahatisha bahatisha tu kwa kununua nunua marefa, sasa January Africa cup si ndio mtalia!
 
Tunakuja tunaomba mtupishe kwenye nafasi yetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom