Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Khe khe khe naona City wamewakalia kooni sasa Man City 1 Chelsea 1

Sasa nyie mnaojitia Chelsick mko wapi Kimyaaaaaaaaa

Mnasubiri mpira uishe ndio muanze vijineno kwani hamna uhakika
 
Mapumuziko chelsea 1 city 1 still we have chance to win this game and it's important to make it.
 
Mapumuziko chelsea 1 city 1 still we have chance to win this game and it's important to make it.

Ninawatakieni kheri, ila wasipofanya bidii (wachezaji wenu) mtalala leo. Man city wanacheza mpira mzuri, wanashambulia sana na mmeshindwa kuzizuia winger zao. Labda ancelotti atakuwa na neno kwa wachezaji.
 
Khe khe hata penalty for Chelsick. Saved by Shay Given. wakuu sasa marefa wawabebe vipi au fweza hazikutolewa za kutosha
 
Kawaida yao Chelsea wakishafungwa zikiwa zimebaki dakika kumi za mwisho wanacheza rafu hehe...! Masanilo na Invisible mpo?
 
Kuna washabiki walifikiria Premier League ni chandimu na kugawa fweza. Ndio timu isiyofungwa tena hata wiki haikupita rudini darajani tu.
 
kweli siku ya kufa nyani miti yote uteleza.

Hii sentence leo imejidhihirisha vijana wametubana kila idara ndo maana ya soka lazima ujue kuna matokeo ya aina tatu.
Soka leo cyo starehe sasa ngoja nikafanye mengine..
 
Kawaida yao Chelsea wakishafungwa zikiwa zimebaki dakika kumi za mwisho wanacheza rafu hehe...! Masanilo na Invisible mpo?
hawa watu hawaonekani leo watarudi siku ya champions league.huwa wanapiga kelele sana majukwaa ya watu siku yao ya kuchinjwa ikifika hawaonekani ha ha ha ha.


"masanilo masanilo masanilo masanilo" mashabiki wa man city walikuwa wanashangilia leo.
 
kumbe na nyie huwa mnafungwa? masanilo leo inamana simu yake haina chaji ya kuulizia matokeo?

Heheheh mkuu naona ulikuwa umeegesha gari unasubiria kipenga cha mwisho tuu....Masanilo simu haina 'chaji', Invisible lazima atangaze System Maintenance usiku huu.

Watani poleni kwa kichapo..ndio ukubwa!!
 
Hii sentence leo imejidhihirisha vijana wametubana kila idara ndo maana ya soka lazima ujue kuna matokeo ya aina tatu.
Soka leo cyo starehe sasa ngoja nikafanye mengine..
pole sana mkuu wewe ndio mshabiki wa kweli manake hupo wakati wa raha na balaa .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom