Mvina
JF-Expert Member
- Aug 2, 2009
- 997
- 34
Hongera sana watani...AB-Tichaz (aka mzee wa mapicha), Masanilo (aka mzee wa Zenj), Peasant, Mvina (aka mzee wa ugimbi), Eglypz etc! Huu mpambano bado ni asubuhi kabisa.....tutajipanga upya.........!
NL unasema bado mapema unawafariji wanaopoteza game muhimu nini? Maana kama utaniambia unasubiri mwezi wa nne ndo ushinde na kuchukua ubigwa hizo zitakuwa ni ndoto.Wakati we unaomba ushinde pia utakuwa unaomba na wengine wapoteze kitu ambacho ni kigumu pia.Kama haujaikubali kazi ya vijana subiri second round na mjipange kiukweli.