Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

You all need to shut it and wait for Sunday! maneno meengi, nasema pamoja na majeruhi mpira dakika 90 na bado tuna uwezo wa kuwafunga Chelsea tena sana, kama A/villa na Wigan wameweza kwa nini sisi tushindwe? hatutaki mind games hapa tusubiri j/pili. Na naamini nitaingia hapa jamvini kwenu kifua mbele!!!!

Ikawa mchana ikawa usiku, siku ya TANO imeingia.
 
Duh wajuba wamekamia....!!
Intermediaries have put together a world record £100 million "package" deal to take Argentine international superkid Sergio Agüero to Chelsea in the January transfer window. The £100 million includes the player's salary and the 21-year-old has privately indicated "yes"
 
Argentina striker Sergio Aguero insists he has no intention of leaving Atletico Madrid in January, amid speculation linking him with Chelsea.
Sergio Aguero: 'Committed' to Atletico




Aguero is one of the players being talked about in the media as a possible big-money signing for Chelsea during the January transfer window with the Blues set to lose Michael Essien, Didier Drogba, Salomon Kalou and John Obi Mikel on African Nations Cup duty.
However, the 21-year-old Aguero was quoted as telling Marca: "I want to help Atletico get out of the situation they are in. I'm committed to the team and I'm not moving in the winter, whatever anyone says.
"I will talk about the future when there is something to say. And the first people I will talk to are the directors of the club."
 
Hadi hapa masaa ndo tunahesabu ili tukapige hodi kwa wenyeji wetu..

Si utani mkuu. Tuko pamoja mkuu. Hawa wachumba lazima wapokee mahari kesho turudi zetu darajani na mke hata kama baba mkwe (Wenger) hataki.
 
Hadi hapa masaa ndo tunahesabu ili tukapige hodi kwa wenyeji wetu..

Siku ya 6

Si utani mkuu. Tuko pamoja mkuu. Hawa wachumba lazima wapokee mahari kesho turudi zetu darajani na mke hata kama baba mkwe (Wenger) hataki.

Mbona muko na tumbojoto? Acheni kuhesabu masaa, sisi mbona tuko kimya? Tunawaachia vijana wetu ili miguu yao ndio iongee, Good news kwenu ni Lampard na Drog wamepona ghafla (tulijuwa ni fiksi tu na wala sio majeruhi) Nyeti tuliyopata ni kwamba Chelsea watajitahidi kumkaba Fabregas (man-marking) ili kupunguza supply kwa forwards zetu, habari toka kambi ya Emirates ni kwamba kama kawa tutacheza 4-3-3 lakini midfields na wide players watakuwa wana-switch position all the time! tuone kama wazee wenu watahimili movenments za vijana wetu na ku-switch position kwa dakika 90! Mazee tafadhali musikose kurudi hapa baada ya mechi kesho!
 
Mbona muko na tumbojoto? Acheni kuhesabu masaa, sisi mbona tuko kimya? Tunawaachia vijana wetu ili miguu yao ndio iongee, Good news kwenu ni Lampard na Drog wamepona ghafla (tulijuwa ni fiksi tu na wala sio majeruhi) Nyeti tuliyopata ni kwamba Chelsea watajitahidi kumkaba Fabregas (man-marking) ili kupunguza supply kwa forwards zetu, habari toka kambi ya Emirates ni kwamba kama kawa tutacheza 4-3-3 lakini midfields na wide players watakuwa wana-switch position all the time! tuone kama wazee wenu watahimili movenments za vijana wetu na ku-switch position kwa dakika 90! Mazee tafadhali musikose kurudi hapa baada ya mechi kesho!

Peasant Umemsikia huyu jamaa hapa.Kwanza siyo kweli kwamba si ni matumbo joto ila tunahamu ya kuona kwa namna gani vijana wetu watayatekeleza yale wapenzi tunataka.Na kuhusu speed ya vijana wako na hiyo formation sisi haitatusumbua kwani tutapiga triangular midfield na nyie kushindwa kabisa kuiunganisha timu yenu maana tutawamaliza kabisa sehemu ya kiungo.Kesho tangu mechi ina anza hadi mwisho si tutakuwepo hapa mzee karibu na wewe tuwe pamoja.
 
Peasant Umemsikia huyu jamaa hapa.Kwanza siyo kweli kwamba si ni matumbo joto ila tunahamu ya kuona kwa namna gani vijana wetu watayatekeleza yale wapenzi tunataka.Na kuhusu speed ya vijana wako na hiyo formation sisi haitatusumbua kwani tutapiga triangular midfield na nyie kushindwa kabisa kuiunganisha timu yenu maana tutawamaliza kabisa sehemu ya kiungo.Kesho tangu mechi ina anza hadi mwisho si tutakuwepo hapa mzee karibu na wewe tuwe pamoja.

yaani tumbo joto kwa Arsenal??teh teh kweli watoto wa siku hizi hawana adabu..ni maajabu kuuwa sisimizi kwa kutumia nyundo..Go the blues goo!!!
 
Kaka masanilo hapa niko standby nimefukuza watoto waende kucheza beach leo nataka niwe na maximum concentration wakati wa game.....naweka tusker bariidiiiiiii karibu.
 
Kaka masanilo hapa niko standby nimefukuza watoto waende kucheza beach leo nataka niwe na maximum concentration wakati wa game.....naweka tusker bariidiiiiiii karibu.


hahahahahahahaha, lazima leo washika bunduk walie tu

lazima tushinde 2-0
 
hahahahahahahaha, lazima leo washika bunduk walie tu

lazima tushinde 2-0

mida ikifika wakuu msitoke hapa jamvini...mpaka dakika 90 ziishe...Wenger aambiwe mapema kabisa kuwa hatutaki visingizio hapa..uwanja wao ,refa naye wao na washabiki wao..atajutaaa kutufahamu
 
Kaka masanilo hapa niko standby nimefukuza watoto waende kucheza beach leo nataka niwe na maximum concentration wakati wa game.....naweka tusker bariidiiiiiii karibu.

Hahahaha mimi pombe itapanda baada ya game! Enjoy Mtanange
 
Peasant Umemsikia huyu jamaa hapa.Kwanza siyo kweli kwamba si ni matumbo joto ila tunahamu ya kuona kwa namna gani vijana wetu watayatekeleza yale wapenzi tunataka.Na kuhusu speed ya vijana wako na hiyo formation sisi haitatusumbua kwani tutapiga triangular midfield na nyie kushindwa kabisa kuiunganisha timu yenu maana tutawamaliza kabisa sehemu ya kiungo.Kesho tangu mechi ina anza hadi mwisho si tutakuwepo hapa mzee karibu na wewe tuwe pamoja.

mida ikifika wakuu msitoke hapa jamvini...mpaka dakika 90 ziishe...Wenger aambiwe mapema kabisa kuwa hatutaki visingizio hapa..uwanja wao ,refa naye wao na washabiki wao..atajutaaa kutufahamu

Hahahaha mimi pombe itapanda baada ya game! Enjoy Mtanange
Mvina nimekupata mkuu, hatuna mcheche lakini tuna hamu ya kupiga bao mtoto bikira huyo si unajua tena!
Bahati mbaya wakuu hii game naicheck pub, hivyo tutakutakana immediately after game.
Baadae!
 
mida ikifika wakuu msitoke hapa jamvini...mpaka dakika 90 ziishe...Wenger aambiwe mapema kabisa kuwa hatutaki visingizio hapa..uwanja wao ,refa naye wao na washabiki wao..atajutaaa kutufahamu

Mi ndo kwanza naingia hapa mzee tutakuwa pamoja sana hapa ndani,we endelea kumimina hizo tuster na nataka niangalie kama wanzuki ipo kidogo niendelee kupata.
 
Mvina nimekupata mkuu, hatuna mcheche lakini tuna hamu ya kupiga bao mtoto bikira huyo si unajua tena!
Bahati mbaya wakuu hii game naicheck pub, hivyo tutakutakana immediately after game.
Baadae!

Nimekupata mkuu si tupo hapa tutakuwakilisha mida ukija utatukuta hapa ndani,Nitatakie wote mtanange mwema..na tuendelee kuweka updates hapa kwa wale tuliopo..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom