Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

wadau wa 'darajani' tukutane hapa!

i1101_918511mediumlandscape.jpg


mwaka huu ni ubingwa tu!

Ooops! Sasa tutakuwa na threads ngapi mkuu?! Zitatutachanganya tu mkuu ni bora kuendelea na ile maana sioni mapungufu yake. Halafu inaonekana kama ni thread ya Drogba na si Chelsea FC. Ni mawazo tu mkuu.
 
Huenda mdau alikuwa bado hajajua kama kuna ile thread ya watu wa darajani ambapo cku zote huwa tunakutana.
Mods unganishe na ile basi ili kuondoa mkorogano.
 
Naona Ancelotti ataki mchezo kaweka full kikosi ingawa tumeshaqualify. Tatizo hapo ni kurisk majeruhi.
 
Nimefurahi wachezaji walikuwa hawajapania sana, hivyo wamepunguza risk ya majeruhi.

Ndo faida za kufanya kazi asubuhi jion unakaa zako na kahawa yako huko ukikokotoa mahesabu yako.Game ya leo ilikuwa ni kama mazoezi kwa ajili ya game ijayo siunajua tutakuwa ugenini pia.
 
Ndo faida za kufanya kazi asubuhi jion unakaa zako na kahawa yako huko ukikokotoa mahesabu yako.Game ya leo ilikuwa ni kama mazoezi kwa ajili ya game ijayo siunajua tutakuwa ugenini pia.
Yeah, game hii ya J'pili muhimu sana. Tukishinda tutakuwa tumeongeza gap kwa mshindani mmoja. Arsenal wakiwa Emirates ni wagumu sana, lakini tuone inakuwa vipi.
 
Yeah, game hii ya J'pili muhimu sana. Tukishinda tutakuwa tumeongeza gap kwa mshindani mmoja. Arsenal wakiwa Emirates ni wagumu sana, lakini tuone inakuwa vipi.

Hakuna kitu hao mimi natafuta pombe za kusheherekea!
 
Hakuna kitu hao mimi natafuta pombe za kusheherekea!

..wala hujakosea. Hawa wazalendo wenzetu mbona tena wanasuasua?
Mpira mbele nduguzanguni. Emirate watakula kibano tu.

Mwenzio nimeagizia mbege na makopo yake via DHL...🙂
 
Hakuna kitu hao mimi natafuta pombe za kusheherekea!

..wala hujakosea. Hawa wazalendo wenzetu mbona tena wanasuasua?
Mpira mbele nduguzanguni. Emirate watakula kibano tu.

Mwenzio nimeagizia mbege na makopo yake via DHL...🙂

Hiyo mvinyo yenu muiandae kweli........kwa lolote litakalotokea!

AB....Usisahau kuweka mipicha ya maaction, hasa ile mibao mtakayofungwa.....weka order kabisa ya picha.....ha!ha!hahahahaaaa!
 
Hiyo mvinyo yenu muiandae kweli........kwa lolote litakalotokea!

AB....Usisahau kuweka mipicha ya maaction, hasa ile mibao mtakayofungwa.....weka order kabisa ya picha.....ha!ha!hahahahaaaa!

Hata mimi nimeagiza home wanitumie pombe flani hivi inaitwa wanzuki nadhani itafika kabla ya siku.Na lazima tuwatungue kwa mengi tu kama lile onyo la Spurs...
 
Hiyo mvinyo yenu muiandae kweli........kwa lolote litakalotokea!

AB....Usisahau kuweka mipicha ya maaction, hasa ile mibao mtakayofungwa.....weka order kabisa ya picha.....ha!ha!hahahahaaaa!

Next Level,

Order nishaweka ya picha na tupo ngangari mwanaa.
We subiri kipigo tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom