Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,681
- 11,123
Umesema USA wamelickdown lakini vifo vinaongezeka. Huoni kama umejibu swali lako mwenyewe kuwa lockdown aisaidii?Jamani Mimi naomba mnitoe kwenye mambo zenu za siasa za bongo. Nitauliza maswali nitaomba wajibu wenye kufikiria tu.
Hivi ile hali kama ya Italy ikija Kwetu (God forbid) bado tutasema hivi hivi kwamba sisi tukijifungia ndani hatuwezi kuishi??
Hivi hali ikija km USA sasa je tutakua tunachapa kazi tu ili majirani zetu wapate huduma?
Trump mpk leo wazi wazi ametamka hii kujifungia ndani sitaki kusikia. Na alisema kabisa Easter ntafungua nchi watu wafanye kazi. Lakini Easter ndio hiyo death rate ina surge tu day in day out. Je mbona Trump hafungui nchi? Si hapendi?! Kama ambavo na sisi hatupendi. Kwa wenye kufikiria hapa waseme kwa nini lockdown marekani ipo wakati Raisi roho yake inamuuma uchumi unashuka? Kwa nini?