Msolo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 2,346
- 3,006
Serikali inahusikaje hapo?!Hakuna kitu kitakachofanyika.
Hilo jambo ndio limekwisha, wao waendelee kususa tu.
Haiwezekani serikali ikawa inafanywa kama shule ya vidudu.
Serikali inahusikaje hapo?!Hakuna kitu kitakachofanyika.
Hilo jambo ndio limekwisha, wao waendelee kususa tu.
Haiwezekani serikali ikawa inafanywa kama shule ya vidudu.
Serikali inahusikaje hapo?!
Hiyo michezo yenu ya paukwa pakawa hakuna tena,
Wakina mdee Watakaa bungeni mpaka 2025
Wewe ni mhutu wewe . Jiwe alikuwa mbabe , umemfikisha wapi ?!.Maridhiano kwani kuna mfarakano?
Tunaridhiana kitu gani?
Wewe ni mhutu wewe . Jiwe alikuwa mbabe , umemfikisha wapi ?!.
Jaribu wewe kama utafaidika chochote
2025 karibu, wakae mpaka karne ijayo.
Hawawezi kujiuzuru kizembe hivyo. Wapo mule after money. 11M+ monthly sio kitu ndogo kwa wamama waleTatizo akina halima wameamua kushupaza shingo tuu. Ningekua ndo mimi ningejiyzuru hata kesho..
Kwani mleta uzi amesemaje??.Kwahiyo wewe imekuchoma kivipi?
CDM ni taasisi huru.Anachopanga Mbowe huna ubavu wa kupinga
ImemchomaKwani mleta uzi amesemaje??.
Aliwapora Cdm mbona kawaachia wengine ndiyo watatapanye. Mungu fundi. Mama hawezi kuwa na akili za bange Ka zako hizo na Jiwe lakoUlikomfikisha hata we utafika
Aliwapora Cdm mbona kawaachia wengine ndiyo watatapanye. Mungu fundi. Mama hawezi kuwa na akili za bange Ka zako hizo na Jiwe lako
CHADEMA wakikamilisha ile process ya Baraza Kuu na kubariki wale 19 kuvuliwa uanachama jumla, game litaishia hapo na huenda kukawa hakuna haja ya kwenda kortini tena, unless inafunguliwa jinai ya kuforge sahihi na nembo ya ChamaHapa sasa ndiyo pamefikia patamu. CHADEMA waende Mahakamani na kupata haki na hatimaye akina Mdee waweze kuvuliwa Ubunge wao ili kuwawezesha kuwateua wengine wapya. Kwa kweli akina Mdee watajutia usaliti walioufanya. Ubunge watakosa, uananchama wamevuliwa na watakuwa kama sisi tulio mtaani.
Na kura zitaendelea kuibiwa tu kama process ya uchaguzi itaendelea kuwa hii hiiCDM kuna mwaka hamjasema mlibiwa kura? Tangu mmezaliwa malalamiko yenu ni hayo tu
Muda ni mwalimu mzuri sana. Wait and seeMwongo sana wewe bwana... Unatafuta spinning, CHADEMA ya Mwenyekiti Freeman Mbowe haiwezi kufanya hivyo...
Sasa nchi inarudi kwenye utawala wa sheria na sio matakwa ya mtu mmoja, na ndio maana una ona sasa kila mtu analizungumzia hilo, kwani aliyekuwa anawalinda hayupo tena!!kweli maisha haya, unadhani wote hao, kuanzia nec, bunge hawajui kuwa hao ni halamu?ila wangefanya nini, hata hao CDM, wangepeleka majina baada ya kina Halima kuforge barua, kuna chochote kingefanyika?!!ishi kwa kutegemea sheria, na sio kwa kumtegemea mtu ona sasa kinachowakuta covid 19CHADEMA ilipaswa kupeleka wabunge 19 mara tu baada ya Halima “kuforge” barua. Vitu vingine huhitaji hata diploma kuvielewa.