Mkuu kama negotiation zimefunguliwa kuna haja ya Kuendelea kususa? Maana najua main idea ya kugoma kushiriki chaguzi ni kutaka reforms ya sheria za uchaguzi sasa kama suluhu imeanza kupatikana kwa kuanza na mazungumzo na Rais (by the way haikuwezekana kwa miaka 6 sasa) je kuna haja ya kuweka mgomo? Utakua unagomea nini sasa?Nadhani unaeumia ni wewe. Seems ulitamani sana viongozi wa CHADEMA waendelee kususa to prove a point. Bahati mbaya huna clue chama kinaendeshwaje
CCM ni ile ile, leo mtamuachia huyu kesho ataibuka mwingine arudie ujinga wa mwendazake, kama Chadema wakienda bungeni wahakikishe kwanza wanapewa Tume Huru vinginevyo ni kujidanganya tu, na Mbowe keshasema bila Tume Huru hawashiriki uchaguzi, tuepuke kero km hizi next time.Mkuu maadam Rais ana nia ya dhati kuleta muafaka wa kisiasa sioni haja ya kuendelea kususa. Ya JPM aliondoka nayo, wao wakubaliane tu kubadili mfumo wa uchaguzi then 2025 ndio tuta evaluate.
Hata JPM pamoja na ubabe wote aliachia yale makontena wakati wa mazungumzo ili kuonyesha goodwill na kuaminiana kwenye kutafuta muafaka.
Sidhani kama kuna haja ya kususia ushiriki kwa Rais ambaye anatafuta maridhiano maadam hakuwa JPM tuichukulie kama a new beginning.
Hapana hii si kweli CHADEMA hawajaingiziwa maana hawakupeleka hata account rasmi ya chama ilipohitajika.Hili anajua zaidi Chairman na Katibu. According to CAG, mpunga unaingia kwenye account kama kawaida tu.
Politics waachieni politicians!
Haahaahaahaa!!!Jamaa amekutukana kwamba tunu yako ya taifa imechomwa na kitu chenye ncha kali kirefu kirefu usikubali mkuu mjibu.
Hahahahahahaha ila nyie watu 🤣Unamaana jamaa amechomwa na kitu chenye ncha kali kwenye tunu yake ya taifa?
😂😂😁Yaani ufipa ni kama mtoto unamiga Kofi la shavu analiaaaaaaaa halafu unampa pipi kijiti anaalambalamba halafu anaacha kulia
Uwiii
Kwanini mnamuita mzee mdeeHao akina Mdee wakitolewa huko Bungeni basi kisiasa watakuwa wamekufa, maana watashambuliwa kila kona na mashabiki wa CDM, kama kuna mabingwa wa kuchafua watu hapa nchini hamna anawafikia CDM, may be Nape anawafuatia, ila kwa mbali sana. Babu Slaa na ubishi wake wote aliwakimbia CDM, akaona bora akawe meneja wa Supermarket, CDM wana midomo michafu sana, watakupa kila aina ya majina. Haya Mzee Mdee karibu mtaani uje ukinywe kikombe ulichojiandalia mwenyewe.
Mkuu si umesema shetani yuko motoni kwahiyo sasa hivi nchi iko vizuri?Mkose maendeleo miaka 60 ndio mpate leo kutoka kwa hayo majizi ya kura?
Anachopanga Mbowe huna ubavu wa kupingaCDM haili najisi, kukubali kushiriki jambo lolote lile lililotokana na ubedhuri wa uchaguzi ule ni sawa na kula kibudu. Msimamo ni uchaguzi urudiwe kukiwa na Tume huru ya uchaguzi.
sasa mumeshikwa pabaya ...mae tulieni tumimine DAWA iwangie vizuri.. shwain nyie
Wewe unatakaJe lakini !!.Serikali haitaki maridhiano yoyote na vyama vya siasa, rais ametoa nafasi ya kuongea nao na kuwasikiliza, ni kama rais anavyoongea na walemavu au wafanyabiashara ndogo ndogo
Maridhiano ya chadema kwa ajili ya kitu gani? Wananguvu gani sasa hivi?
Ela tu ya kuajili wafanyakazi wa Office hawana, chadema sio threat tena
Watapelekaje wakati wazito wanakumbatia Covid-19 bungeni?Kwa mujibu wa gazeti la RAIA MWEMA la leo 28 April, CHADEMA inataka Mdee na wenzie waondoke/waondolewe Bungeni mara moja ili chama kiweze kupeleka orodha ya wabunge wa viti maalumu kuchukua nafasi ya wale imposters
Msimamo huu mpya wa CHADEMA ni wa kumtambua Rais aliyepatikana kutokana na uchaguzi wa Oct 28 mwaka jana na kupokea ruzuku inayotolewa na Serikali.
Well, it was just a matter of time
View attachment 1766204
Leo hujamtaja mumeo MBOWE?Huwa ni kawaida ya nyumbu kuona yuko salama mbele ya mdomo wa Simba.
Rais Samia wanyooshe tena.
Ahahahaaaa . Mwenye nayo mwenyewe keisha lisusa yuko town . Ndo abaki yeye kulilinda ?!Kwani leo siyo zamu yako ya kulinda kaburi?
Watapelekaje wakati wazito wanakumbatia Covid-19 bungeni?
Wewe unatakaJe lakini !!.
Kwanini unaamini ktk faraka zaidi ya maridhiano ?!. Kwanini unaumia !!