Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,957
- 103,308
Eeh mara mnasusa mara mnataka, mara hivi mara vile, come on now tunataka maendeleo sio kila siku tunaongea mambo ya chadema tu na madudu yao kama watoto
Mkose maendeleo miaka 60 ndio mpate leo kutoka kwa hayo majizi ya kura?