kichwamaji
JF-Expert Member
- Dec 1, 2006
- 232
- 12
Hivi huyu Mabere Marando ni yule ambaye alitoka NCCR na kwenda sisi M baada ya kukorofishana na Mrema ama ni mwingine? Ina maana amerudi tena upinzani?
Naomba ufafanuzi.
Kama hujui nyamaza!!!!!Marando hajawahi kuwa mwana CCM. Inaweza kukushangaza, lakini ndio ukweli huo. Na tangu alipogombana na Mrema hajajihusisha na siasa za chama kingine mbali na NCCVR-Mageuzi. Kimya chake, na baada ya Mrema kutofautiana na viongozi wenake wote (wakiwamo Bagenda, Lwekamwa, Jaffu, Ngawaiya, Tao an wengine) kimewafanya waliomsakama Marando wagundue nani alikuwa mwiba yeye au Mrema. Yule jamaa kichwa, achana naye. Hata kama humkubali, hii ni sifa yake, apewe.