Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,888
Sasa ni saa 10:20 toka katika Ukumbi wa Urafiki Social Hall . Viongozi wa Vyama vyote wapo nje ya Ukumbi wanafanya maongezi na wana Habari . Mrema yupo, Slaa yupo,Marando Mabere yupo na CUF sijamuona mwakilishi wao ila nangoja. Kwa upenda wa NCCR na CUF sijajjua nani mwakilishi wao ila niko hewani nitawapa yanayuo jiri .Wana habari wamejaa hapa sasa sijui kama watasema yatakayosemwa hapa kama yalivyo ama watakaa kama last time pia .