Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
Patamu hapo!!! sasa huo ni upande mmoja, nina hamu kusikia upande wa pili ukijibu objectively.
Nachukia mtu mmoja mmoja au taasisi ya aina yoyote inayojibu mambo ya msingi kijumla jumla tu, especially pale muuliza swali au mshutumu anapokuwa amelenga mambo specific.
NB: Ninachoweza kusema huenda ni kamchezo ka muda mrefu sana, sasa kamefikia mwisho wake!
Nachukia mtu mmoja mmoja au taasisi ya aina yoyote inayojibu mambo ya msingi kijumla jumla tu, especially pale muuliza swali au mshutumu anapokuwa amelenga mambo specific.
NB: Ninachoweza kusema huenda ni kamchezo ka muda mrefu sana, sasa kamefikia mwisho wake!