Mdogo wangu John Mnyika,
Naomba nikusifu kwa propaganda, Hongera sana mkuu,,, maana hizo statistics, ukizisoma kwa kweli Utaona Upinzani Umeshinda saaaana!!! Lakini Ungeweza tu kutulia ukatupatia wakati viti ni 10 hadi 20 at least ungeweza kufanya sisi wengine tulibahatika kusoma kwenye shule za kalimanzira kuwapa Hongera ya Halali Kwenu...
Ni sawa sawa na kipima Joto cha ITV kinachotoa statistics za percentage bila kusema washiriki ni wangapi!!!
Tunaomba usitulazimishe kuamini kwamba Upinzani kwa uwezo wa kufikiri, kuchambua hakuna clear differentiation other than kwamba huko ni Mnyika na kule ni Tambwe,,,, please!!!
Kilitime,
Mnyika hajui kwamba wenzake Propaganda huwa wanasomea, kama anataka kuwa propagandist mzuri aende akasome.
Naona Propaganda zake nyingi, hata mwanafunzi wa shule ya msingi anaweza kuziona.
Hizi SPIN zimewashinda hata watu makini kama akina Blair.
Mimi na SPIN mbalimbali.