PrN-kazi
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 2,900
- 445
PrN I salute U,leo ulikuwa unaongea vitu vya msingi sana hiki ni kimojawapo,nilipomuona Gumbo nilikata tamaa kabisa ya upande wa kulia na ndo kilichotokea,hadi anatoka mimi sikuona amefanya nn?...
pamoja sana mkuu: kwakweli Gumbo huwa namchukulia kama homa ya vipindi mara joto mara baridi, akiwa uwanjani uwezi kujiaminisha 100% kwamba una bonge la mchezaji ''No''.