CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

timu zote zinastahili kuingia nusu fainali, japo inatakiwa hapa ipite moja basi unayotaka wewe ndiyo itapita.
 
Liwalo na liwe yanga lazima aingie Nusu fainali..poleni mnaoshangilia Mafunzo....hahahaha

Mkuu mimi mpenzi wa yanga hapa nina furaha ajabu. Mwenye bar ana uhakika wa kuuza bia 10 kwangu tu. Ila ukweli ni kwamba mfungaji alikuwa offside
 
dakika ya ngapi wakuu .leo siko live nafuatalia hapa JF
 
Mkuu mimi mpenzi wa yanga hapa nina furaha ajabu. Mwenye bar ana uhakika wa kuuza bia 10 kwangu tu. Ila ukweli ni kwamba mfungaji alikuwa offside

refarees wanafanya nini hasa! ndo wanashusha kiwango cha mpira ktk ukanda huu.
 
Leo kama watafika penati zitarudiwa rudiwa kama mwaka jana, haya mashindano ya kutegemea gate collection.
 
Wachezaji wa Yanga walicheza zaidi ya uwezo wao mechi ya APR ndo maana wanaonekana kuchoka.
 
Anselm na Balatanda ndugu zangu wa karibu sana katika jukwaa hili vipi? Mbona siwaoni?
 
mafunzo kumbe wakiamua wanaweza.kwenye kombe la urafiki hawakucheza kama walivyocheza kwenye cecafa
 
Kocha wa Yanga haelewi wachezaji wake wanakosea wapi ndo maana hajui amtoe nani amwingize nani, kwani Yanga hamna Boban wenu?
 
kesho ni mechi za kulipiza kisasi Azam hatakubali kufungwa na simba lakini lazima icecream ziyeyuke mapema tu. Atletico haitakubali uteja kwa V Club kama walivyowatoa kwenye mashindano ya Caf kwa jumula ya magoli 6-4(Kinshasa 5-0, Bujumbura 4-1)
 
Back
Top Bottom