Tutapunguza mawili tu
![]()
Huo mdomo wako utaufunga tu....safari hii tuna piga wiki
Vita 1 Atletico 0 dk ya 6
Hii inaashiria kuwa Simba watakutana tena na AS Vita Club napo patakuwa patashika nguo kuchanika! Bila shaka AS Vita hawatakubali kuondoshwa mashindanoni. Haya yakitimia na huku APR wakivunja uteja kwa Yanga bila shaka watani watakutana saa 8 mchana siku ya fainali kama ilivyotekea kipindi kileee!
Je Yanga wataweka ngumu kuingia uwanjani dhidi ya Simba tena? Bila shaka wataingia kwa kishindo, je watakubali kufungwa tena na Simba hasa ukizingatia mabao waliyofungwa katika mechi ya mwisho? Hapana shaka hawatakubali ujinga huo uendelee hasa ukizingatia hali ya Mnyama ilivyo. Huu utakuwa ni muda wa kumchinja Mnyama japo haliwi katika kipindi hiki cha mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Angekuwa analiwa angepelekwa Jangwani na wazee wangepata supu ya futari. La haula, li mnyama lenyewe haliliwi!
Mkuu mimi sikuogopa kukutana na nyie, lakini kiukweli nilitaka Mafunzo washinde kwanza kuimarisha Muungano, pili kuwapunguza kuongea sana baada ya kucheza kandanda safi na APR mkaona kama ndo mmemaliza.Mkuu nimedhihirisha uoga wako wa kutotaka kukutana na sisi kwenye Kagame hii,mnataka mkiwa mnaendelea kuchangia hapa JF muendelee kutumi ile avator ya score board ya 5 - 0,unajua tukikutana ile itakuwa outdated....usijali lkn hata ukivuka kesho kwa maswaiba zenu utakuwa bado una kimbembe cha kukutana na Atletico au AS Vita na ule ndo utakuwa mwisho wenu rasmi,kwahiyo punguza dua mbaya kwetu kwa kiwango chenu cha sasa hv hakuna matarajio ya kukutana na sisi.
Sisi tunawataka hata kwenye kutafuta mshindi wa 3 potelea mbali-liwalo na liwe,Simba sasa hivi dhorfulhali...niliwaambia hapa mapema tu kuwa mafanikio yao ya mwaka jana yalipatikana kwa jitihada za Okwi na Marehemu Mafisango(RIP) wakanibishia sana,sasa hv Kocha wao analia
Mkuu mimi sikuogopa kukutana na nyie, lakini kiukweli nilitaka Mafunzo washinde kwanza kuimarisha Muungano, pili kuwapunguza kuongea sana baada ya kucheza kandanda safi na APR mkaona kama ndo mmemaliza.
Sisi kama tutapita leo timu ninayoihofia ni AS VITA, lakini sio Atletico kuelekea nusu fainali, ndo niko Taifa sahivi nawacheki si wazuri sana, kama watashinda na sisi tukashinda matumaini ya kufikika fainali ni zaidi ya asilimia 60, lakini kwa Wacongo ni 50 kwa 50.
Mkuu Yanga bado timu dhaifu tu, hebu niambie akiumia Niyonzima na Kiiza replacement ni nani? First eleven yenu ni nzuri sawa lakini msipopata magoli ya mapema na mkafanya sub ndo kwisha habari yenu, Tegete anakimbia kimbia tu utafikiri tajiri wa kiarabu anamiliki visima vya mafuta.Na hawataamini kuvuka huku kwa tabu ndo kumeishia hapohapo kwa mafunzo from now ni "clean win" ndani ya dk 90 mpaka tunachukua Kombe
kutofanikiwa kwenu mwaka jana kulitokana na jitihada za Canavaro. Niyonzima, Nurdin na Rashidi Gumbo siyoeee!!!!,
Acha uongo wako wewe, sisi tumetoka kuchukua kombe bila ya hao uliowataja.Sisi tunawataka hata kwenye kutafuta mshindi wa 3 potelea mbali-liwalo na liwe,Simba sasa hivi dhorfulhali...niliwaambia hapa mapema tu kuwa mafanikio yao ya mwaka jana yalipatikana kwa jitihada za Okwi na Marehemu Mafisango(RIP) wakanibishia sana,sasa hv Kocha wao analia
Mkuu Yanga bado timu dhaifu tu, hebu niambie akiumia Niyonzima na Kiiza replacement ni nani? First eleven yenu ni nzuri sawa lakini msipopata magoli ya mapema na mkafanya sub ndo kwisha habari yenu, Tegete anakimbia kimbia tu utafikiri tajiri wa kiarabu anamiliki visima vya mafuta.
Nakubali kabisa kuwa walichangia kwa namna moja au nyingine kutofanikiwa kwetu kwa msimu uliopita,kinachonishangaza ni jinsi washabiki msivyotaka kulikubali hili kuwa bila Okwi na Marehemu basi Kocha lazima ataonekana hajui,Rage na yeye kasoro zake zitaanza kuonekana waziwazi kwa ufupi team itaboronga na migogoro itaibuka kama kawaida,take my words PrN
Acha uongo wako wewe, sisi tumetoka kuchukua kombe bila ya hao uliowataja.