CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 943
Ok endelea kupost mpaka mwisho kama kweli wewe kidume!Yanga wanataka kutukwepa tusikutane nao..Refa wape hata penati hao yanga..
Ok endelea kupost mpaka mwisho kama kweli wewe kidume!Yanga wanataka kutukwepa tusikutane nao..Refa wape hata penati hao yanga..
Mkuu bado naota.
Yanga wanataka kutukwepa tusikutane nao..Refa wape hata penati hao yanga..
Tena huyo mafunzo kafanya kosa kubwa sana,yani kamshika jini kule nyuma,leo atajuta kuifahamu yanga.Mkuu Yanga hatumkwepi mtu, kwanza Mnyama yuko mbali mno, Azam yenyewe ni issue! Tuwakwepe ninyi mmefika wapi? Kumbuka mechi ya Atletico na Yanga kisha tafakari mechi kati ya URA na Simba. Tulia Mkuu, Mafunzo wanaongoza, hawajashinda, mechi ni dakika 90.
Yanga wanataka kutukwepa tusikutane nao..Refa wape hata penati hao yanga..
Tena huyo mafunzo kafanya kosa kubwa sana,yani kamshika jini kule nyuma,leo atajuta kuifahamu yanga.
Yanga 1 dk 46
Sasa je? Kwani muda umeisha? Yanga 1-1 Mafunzo Bahanuzi
Naona post zitakuwa nyingi sasa, Lakini Mafunzo inabidi mjitahidi uwezo mnao na Swaum inabidi iwape nguvu zaidi.
kwani vipi mtatufunga kesho...hahahahpole sana...
Liwalo na liwe yanga lazima aingie Nusu fainali..poleni mnaoshangilia Mafunzo....hahahahaKwa wale wanaojua mpira vizuri mtakubaliana nami kuwa mfungali alikuwa ameotea. How? Wakati cross inapigwa alikuwa amezidi ila ikiwa njiani hiyo cross kumfikia akarudi ndani. Sheria inasema mtu anakuwa offside pale mpira unapopigwa. Liwalo na liwe
Moja!!ngoja tuone....maneno yako..
lipo goli moja la ushidi la mafunzo..