KUELEKEA MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM TAIFA APRILI 01, 2022 JAKAYA KIKWETE CONVENTION CENTER DODOMA.
#TukutaneAprilMosi #MkutanoMkuuMaalum
#CCMImara
#KaziIendelee
View attachment 2159767
View attachment 2159768
View attachment 2159769
View attachment 2159770
😁😁John mallya: Kama gari la RPC linasiti 5 na ninyi mnasema mlikuwa 6 mweleze mheshimiwa Jaji je? afande kingai alimkalia nani?
Shahidi: Sijui
Kwani mzee wa kaperanaumu anasemaje huko alikohifadhiwa.Mkutano Mkuu Maalum wa CCM, mkumbuke kuna Coronavirus mpya. Isije ikasababisha Dr mpango kuteuliwa tena kuwa Rais
KUELEKEA MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM TAIFA APRILI 01, 2022 JAKAYA KIKWETE CONVENTION CENTER DODOMA...
Kutambua ujinga, umaskini na maradhi kama alama kuu za chama toka upatikane uhuru wa Tanganyika.Agenda kuu ni zipi?
Ndio siku yao hiyo Kila mwakaMmmmmmm, kwanini wamechagua Tarehe ya sikukuu ya wajinga, tar 1/4? Kuna mantiki yeyote hapo.
Mantiki iliyopo nyuma yake ni kwamba, ile tarehe 5 Februari ni yenye kuwatambulisha waasisi wa chama, lakini hii tarehe 1 Aprili ni rasmi na yenye kukitambulisha kizazi cha sasa cha makada wa CCM.Mmmmmmm, kwanini wamechagua Tarehe ya sikukuu ya wajinga, tar 1/4? Kuna mantiki yeyote hapo.
April Fool's meeting. KARIBUNI WAJINGATAARIFA MUHIMU CCM
Mkutano Mkuu Maalum utakaokuwa na agenda maalum ya marekebisho ya katiba ya CCM ya Mwaka 1977 toleo la mwaka 2020 utafanyika Jijini Dodoma Aprili 01, 2022. Wajumbe wote wa mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa mnakaribishwa.
#TukutaneAprilMosi
#MkutanoMkuuMaalum
#KaziiendeleeView attachment 2160189