Kuuliza Sio ujinga, JPM aliwahi kuteuliwa na Mkutano Mkuu Maalum wa CCM kugombea Urais?​

Kwanini ccm wanamponda sana baada ya kufariki?​

 
Atakuwa anachapia kazi kwenye venderation,Upendo wa wabunge kuhoji mwenzao haupo.Siku akirudi bungeni utashangaa wanapiga makofi na vigelegele.
I see! The issue is getting 'hot' and forcing the rise of eye blow!
 
KUELEKEA MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM TAIFA APRIL 1, 2022

Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa Karibuni Dodoma.

#TukutaneAprilMosi
#MkutanoMkuuMaalum
#CCMImara
#KaziIendelee

20220324_175828.jpg
 
Kila la kheri ,ila iwe nafasi ya kurekebisha mapungufu yenu Kwa faida ya taifa na SII Kwa ajili yenu na Chama hicho chakavu.
KUELEKEA MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM TAIFA APRIL 1, 2022

Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa Karibuni Dodoma.

#TukutaneAprilMosi
#MkutanoMkuuMaalum
#CCMImara
#KaziIendelee

View attachment 2163107
 
KUELEKEA MKUT
KUELEKEA MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM TAIFA APRIL 1, 2022

Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa Karibuni Dodoma.

#TukutaneAprilMosi
#MkutanoMkuuMaalum
#CCMImara
#KaziIendele

KUELEKEA MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM TAIFA APRILI 01, 2022 JAKAYA KIKWETE CONVENTION CENTER DODOMA.


#TukutaneAprilMosi #MkutanoMkuuMaalum
#CCMImara
#KaziIendelee

View attachment 2159767

View attachment 2159768

View attachment 2159769

View attachment 2159770
Wanaenda kubariki mabadiliko ya katiba katika mambo mawili;
1. Kuurudisha ujumbe wa NEC wa makatibu wa CCM wa mikoa ambao ulifutwa na CCM ya hayati JPM.
2. Kuhakikisha mama anapita bila mtu mwingine kuchukua form tukifika 2025.
 
Ndio ndio kofia mbili inabidi irudi kwa Kasi ili tupate mserereko kuelekea uchaguzi wa 2025 na mama yetu ateleze kwa Kasi kuingia IKULU yetu akalete mageuzi makubwa ya kiuchumi na katiba mpya!!!Je anaungwa mkono na wote!!??Na mangula nae Kakubali Mama all the way to 2030!!!???Mama Akifanikiwa kugombea 2025 naomba mnipe ukampeni meneja nimpe mserereko wa moja kwa moja Hadi kitalani!!!
I cried the whole day when I heard this; BUT I was reminded of something; there is a decree...Nimerudi na nguvu mpya...Mungu bado yupo enzini naamini katika nguvu zake!
 

Mkutano Mkuu Maalum wa CCM, mkumbuke kuna Coronavirus mpya. Isije ikasababisha Dr mpango kuteuliwa tena kuwa Rais​

Duuuh ndiyo nasikia kutoka kwako, aisee niko nyuma ya mda? Kwani kuna wimbi jingine la corona duniani au? Si Mrusi kasababisha dunia na wenye kupanga mambo ya dunia kutulia kuachilia wimbi jingine baada ya Omicron.
 
Back
Top Bottom