Msishangae
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 329
- 234
Kabisa April mosi ni siku ya wajingambona Sku ya Wajinga Duniani
Kabisa April mosi ni siku ya wajingambona Sku ya Wajinga Duniani
Hii ni taarifa kwa OCD au?KUELEKEA MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM TAIFA APRILI 01, 2022 JAKAYA KIKWETE CONVENTION CENTER DODOMA.
#TukutaneAprilMosi #MkutanoMkuuMaalum
#CCMImara
#KaziIendelee
View attachment 2159767
View attachment 2159768
View attachment 2159769
View attachment 2159770
Hajaonekana kweli?Kwani mzee wa kaperanaumu anasemaje huko alikohifadhiwa.
Atakuwa anachapia kazi kwenye venderation,Upendo wa wabunge kuhoji mwenzao haupo.Siku akirudi bungeni utashangaa wanapiga makofi na vigelegele.Hajaonekana kweli?
I see! The issue is getting 'hot' and forcing the rise of eye blow!Atakuwa anachapia kazi kwenye venderation,Upendo wa wabunge kuhoji mwenzao haupo.Siku akirudi bungeni utashangaa wanapiga makofi na vigelegele.
KUELEKEA MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM TAIFA APRIL 1, 2022
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa Karibuni Dodoma.
#TukutaneAprilMosi
#MkutanoMkuuMaalum
#CCMImara
#KaziIendelee
View attachment 2163107
Kweli, Baadaye Wataanza Kuanguka/KupukutikaBarakoa muhimu,tusije pata mapya ya UVIKO 19.
Tarehe ina relate uhalisia mkuu 🤣🤣 hakuna namna!!Nani aliyepanga hiyo tarehe ya " kidunia"
KUELEKEA MKUT
KUELEKEA MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM TAIFA APRIL 1, 2022
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wa Taifa Karibuni Dodoma.
#TukutaneAprilMosi
#MkutanoMkuuMaalum
#CCMImara
#KaziIendele
Wanaenda kubariki mabadiliko ya katiba katika mambo mawili;KUELEKEA MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM TAIFA APRILI 01, 2022 JAKAYA KIKWETE CONVENTION CENTER DODOMA.
#TukutaneAprilMosi #MkutanoMkuuMaalum
#CCMImara
#KaziIendelee
View attachment 2159767
View attachment 2159768
View attachment 2159769
View attachment 2159770
Sio wajinga MaCCM wote akili zao hazina akili.CCM ife tu jamani.
Inakera sana kutawaliwa na wajinga
I cried the whole day when I heard this; BUT I was reminded of something; there is a decree...Nimerudi na nguvu mpya...Mungu bado yupo enzini naamini katika nguvu zake!Ndio ndio kofia mbili inabidi irudi kwa Kasi ili tupate mserereko kuelekea uchaguzi wa 2025 na mama yetu ateleze kwa Kasi kuingia IKULU yetu akalete mageuzi makubwa ya kiuchumi na katiba mpya!!!Je anaungwa mkono na wote!!??Na mangula nae Kakubali Mama all the way to 2030!!!???Mama Akifanikiwa kugombea 2025 naomba mnipe ukampeni meneja nimpe mserereko wa moja kwa moja Hadi kitalani!!!
Msoga nomaBalozi Polepole atakuwapo ama atakuwa kaenda kuripoti kwenye kituo chake kipya cha kazi?
Msoga noma
Duuuh ndiyo nasikia kutoka kwako, aisee niko nyuma ya mda? Kwani kuna wimbi jingine la corona duniani au? Si Mrusi kasababisha dunia na wenye kupanga mambo ya dunia kutulia kuachilia wimbi jingine baada ya Omicron.Mkutano Mkuu Maalum wa CCM, mkumbuke kuna Coronavirus mpya. Isije ikasababisha Dr mpango kuteuliwa tena kuwa Rais