CC ya CCM itakubali kutoa hiyo sandakalawe amina mwenye kupata apate na mwenye kukosa akose????huu utakuwa ni muda mwafaka wa CDM kuiaibisha ccm.Maigizo haya yataigarimu CCM na faida ni kwa CDM!
CC ya CCM itakubali kutoa hiyo sandakalawe amina mwenye kupata apate na mwenye kukosa akose????huu utakuwa ni muda mwafaka wa CDM kuiaibisha ccm.Maigizo haya yataigarimu CCM na faida ni kwa CDM!
It is very very interesting kwamba kwa CCM wanaopinga ufisadi ndio hufukuzwa katika chama lakini yale mafisadi, majambazi, majangili, na mauza unga yaliyokubuhu ndio kwanza yanaachwa na hata kupewa nafasi za juu za uongozi katika chama, serikalini, na bungeni.
Hili linashangaza sana! Hivi CCM wanaweza kuwaeleza wananchi sababu ya msingi na inayoingia akili ya kuwafukuza hao madiwani zaidi ya bla bla za kisiasa za akina Nape?
tayari hizo kata ni zetu kilainiiiii,M4C piga kambi huko mapema,ila hao madiwani ni wazalendo nashauri wajigeuze waje wavalishwe magwanda wagombee kwa tiketi ya chama chetu cdm,mnaonaje wadau?
Hivi hiyo nyumba wamepanga upande kwa kiasi gani?Usikute ni mradi wa Josephine Mushumbuzi yule mama ni mjasiriamali mzuri sana na anajua kuzitumia rasilimali za chama
Mkuu bila CC ya CCM kutengua maamuzi ya mkoa hiyo ni sawa na KUJILIPUA.Naona unataka kamati kuu ya CCM itengue maamuzi ya mkoa.Shhhhh taratibu mkuu
Kaungane na Ajuza FaizaFoxy kumtetea PondaHivi hiyo nyumba wamepanga upande kwa kiasi gani?
Ukihoji hayo kama mwanachama utaitwa msaliti kama si mwanachama hatua za kutukwana au kutekwa zitafuata mara mojaHivi hiyo nyumba wamepanga upande kwa kiasi gani?
Wanaiga CHADEMA? Ni bora sasa watuachie kata zetu hizo.Cha moto watakiona!
kwa ufupi CCM ndo imepoteza kabisa hivyo viti vya udiwani.Inakuwaje leo Nape ? Chadema walipo wafukuza madiwani wa Arusha uanachama mlichonga sana sasa kwenu inakuwaje ? Haya wacha tuone marudio ya uchaguzi itakuwaje tena .
Hiki chama ndio kimetufikisha hapa tulipo'' stand still''wamelaniwa na kukataliwa na Mwenyezi Mungu.Nchi ni kama haina Mwenyewe.CDM mwaka huu Mung anatupenda sana kata 8 ukiongeza 10 za awali ni 18 na ccm 16 tutakuwa tumewapiga bao la kisigino.
CCM wanalifahamu hilo mkuu, na hapa wanazuga tu madiwani wao baadae watawarudisha kupitia vikao vya juu!!!
Wakati nikiwa mwangalizi wa Uchaguzi jimboni mwaka 2010, kata za Kashai, Ijuganyondo, Hamugembe, na Buhembe CCM walipita kwa mbinde!Lakini kumfumuza Ruhangisa ni kujiua zaidi mkoani Kagera maana yeye ni mzee wa kuchaguliwa bila kuwepo!