Nimeangalia taarifa ya habari kutoka kituo cha itv usiku huu,nimesikitishwa na kushangazwa sana na taarifa ya kufuzwa kwa madiwani 8 huko Bukoba.kinachoonekana ni kwa kwamba kila anayechukizwa na wizi wa pesa za inchi hii ni adui mkubwa wa CCM,wametetea kuliwa kwa mamilioni ya pesa za wananchi badala ya kuungwa mkono na kusaidiwa wanaishia kufukuzwa?hii ni aibu kubwa kwa chama hiki.hakina huruma hata kidogo na watanzania,hii ni ishara ya wazi kuwa CCM ni wezi,ni majambazi wa mali za umma.Nawasihi wa TZ wenzangu tusikubali kufanywa wajinga na CCM tuikatae katakata,ujinga si ugonjwa hauhitaji dawa yoyote wala kwenda hosp,ni jambo la maamuzi tu.huitaji degree kutetea rasilimali za inchi hii.