CCM Kagera yawafukuza madiwani wake 8

CCM Kagera yawafukuza madiwani wake 8

Huwezi kuongea siasa labda uwe na roho ngumu kama chama
 
Last edited by a moderator:
Kama wana msimamo na wanajua kutetea haki za wananchi basi wakaribie CDM, vipi na kagasheki nae wamemfukuza?au wanamuogopa?

Naamini hao ni makamanda watarajiwa.
 
Maigizo haya yataigarimu CCM na faida ni kwa CDM!
 
Wamejipaka matope,watu wanaopinga ufisadi ndio wanaofukuzwa...ama kweli akili ndogo haiwezi kutawala akili kubwa.Kwa upande wetu CHADEMA huo ni ushindi wa kata zote 8,CCM mtakufa bila kujijua
 
Ni kweli wamefukuzwa,na et wanadai kama chadema walifanya maamuz magum kwann ccm wasiweze? Imekula kwao hawa! Wale madiwan walikuwa wakipinga ufisadi
Natumaini hasira za wahaya kupinga utawala wa maccm zitawaka zaidi! hao madiwani kama walikuwa wazalendo kweli ni wakati wao sasa kuwaamsha madiwani wengine kuwa their not belong to Chama but their for watanzania.
 
Tunategemea serikali ya CCM iendelee kuwalipa POSHO kama walivyofanya wakati CHADEMA walipowafukuza madiwani wao kule Arusha na Mwanza!
 
Sioni Tofauti,Mbona CHADEMA iliwafukuza madiwani wanaopinga UFISADI mwanza na kumuacha MEYA mtuumiwa
"Vox popoli vox dei"
CC ben saanare,all CDM
 
Back
Top Bottom