CCM Kagera yawafukuza madiwani wake 8

CCM Kagera yawafukuza madiwani wake 8

Kufukuza ni jambo moja ishu ni kutetea kata, ccm lazima wanye uti wa mgongo

Wakati nikiwa mwangalizi wa Uchaguzi jimboni mwaka 2010, kata za Kashai, Ijuganyondo, Hamugembe, na Buhembe CCM walipita kwa mbinde!
Lakini kumfumuza Ruhangisa ni kujiua zaidi mkoani Kagera maana yeye ni mzee wa kuchaguliwa bila kuwepo!
 
hongereni nyie madiwani mlofukuzwa na chama cha madawayakulevya. hakika nyie ni mashujaa hasa sbb mmesimama upande wa haki, that is wananchi. sababu imedhihirika kuwa mnachopigania wazee wa madawayakulevya wanakipinga, then jiungeni na wapigania haki wenzenu ambao wanapatikana ktk cdm. huo ndo ukweli waheshimiwa ndugu zangu madiwani. karibuni sana tuunganishe nguvu ili tuikomboe nchi yetu kutoka ktk mikono ya mafisidi
 
kumekucha source Ritz.
 
Last edited by a moderator:
Inabidi kuwa makini maana kwenye mamba na kenge wapo. Kuna watakaojifanya kuingia kwenye mkumbo huo wakijua kabisa kwa stahili hiyo watapokelewa na kuminiwa na vyama vya upinzani kumbe ni mamluki wa masisiem. Siyo kila king'aacho ni dhahabu.

kweli tukumbuke ya shibuda.
 
nawasubiri madiwani waanze kufunguka.

lini watamvua uanachama fisadi Lowasa?
 
Wakati nikiwa mwangalizi wa Uchaguzi jimboni mwaka 2010, kata za Kashai, Ijuganyondo, Hamugembe, na Buhembe CCM walipita kwa mbinde!
Lakini kumfukuza Ruhangisa ni kujiua zaidi mkoani Kagera maana yeye ni mzee wa kuchaguliwa bila kuwepo!
 
Nape Nnauye hile kampeni ya kuvua watu magamba imeanza nini?ni kwa style hii?
Nasubiri zamu ya Lowasa.
 
Last edited by a moderator:
good that is what we expected from these tired guys (ccm), kweli wameamua kufukuza madiwani 8 kisa kulinda ufisadi wa Meya, Lekatutigite wana cdm, madiwani wenye msimmo Kama hawa ndo tunaowaitaji sana CDM, inawezekna pia hata 2010 walikosea njia.

judge Mutungi usifanye Aziz tangaza kata hizo Kuwa zipo wazi tuingie Kwenye kampeni faster. Naiona manispaa ya bukoba ikienda chademaaaaaaaa!!!!!.
 
Inabidi kuwa makini maana kwenye mamba na kenge wapo. Kuna watakaojifanya kuingia kwenye mkumbo huo wakijua kabisa kwa stahili hiyo watapokelewa na kuminiwa na vyama vya upinzani kumbe ni mamluki wa masisiem. Siyo kila king'aacho ni dhahabu.

hapo hakuna mamluki aka ma.shi.bu.da, hao wote ni wapinga ufisadi ambayo ni sera ya CDM, unajua CDM ni taasisi kubwa yenye hekima na maarifa naamini watakuja na wazo zuri tu kwa hawa madiwani wazarendo.
 
Hapa wameingia katika mtego wa kipuuzi, hatimaye Chadema wamefanikiwa. Kimsingi hakuna ufisadi wowote uliofanyika ila the fact is mbio za ubunge ndio zilizoleta matatizo yote haya.
 
Back
Top Bottom