CCM Kagera yawafukuza madiwani wake 8

CCM Kagera yawafukuza madiwani wake 8

Chama cha Mateja (ccm) mambo yao ni kinyumenyume, wakati wenzao wanatimua madiwani mafisadi wao wanatimua wapinga ufisadi. Kweli maccm yameishiwa
 
Wakati nikiwa mwangalizi wa Uchaguzi jimboni mwaka 2010, kata za Kashai, Ijuganyondo, Hamugembe, na Buhembe CCM walipita kwa mbinde!
Lakini kumfumuza Ruhangisa ni kujiua zaidi mkoani Kagera maana yeye ni mzee wa kuchaguliwa bila kuwepo!

Fafanua kidogo huyu mzee Ruhangisa ni nani na ananini huko Bukoba.
 
Afadhali chadema ichukue viti vyote. Ccm kagera inasubilia mazishi maana imekufa rasmi
 
watajiju,wanaiga kunya kwa tembo watapasuka.....? kupinga ufisadi ni usaliti kwa magamba
 
Hii habari nimeisikia BBC jioni ya leo.CCM wamewaiga CDM.Mtoa taarifa anasema kama CDM wameweza Arusha,hata wao watatetea kata zao hizo kama uchaguzi mdogo utaitishwa. Chaguzi ndogo tena:Mwanza(meya wa kichina),Arusha na Kagera kwa uchache.Katiba mpya itupatie majibu...diwani akifukuzwa kwenye chama,aendelee na nafasi yake.
 
Wanaiga CHADEMA? Ni bora sasa watuachie kata zetu hizo.Cha moto watakiona!

Arusha ilikuwa kipigo cha 4-0 sasa Bukoba kinaenda kipigo cha 8-0. CCM bwana! Eti ukipinga ufisadi unafukuzwa,sii wabadili jima tuu na kujiita CCU yaani CHAMA CHA UFISADI?
 
Hapa CCM wanajaribu kuwatisha hao madiwani wao lakini kwa uhakika kabisa hawana ubavu wa kuwafukuza! Kinachofanyika hivi sasa ni kuwavunja nguvu ili warudi kuomba msamaha na kurudishiwa uanachama wao kwa masharti!!! na ndiyo maana katibu huyo amehitimisha kwa kusema wanayohaki ya kukata rufaa ngazi ya juu!!. Hali ya kisiasa kwa sasa haiwapi jeuri CCM kufukuza madiwani 8 hata kidogo!!. Stay tuned!
 
Mbona magamba makubwa yaliwashinda Kuyavua sasa mnakimbilia kufukuza dagaa,mapapa na sangara je? Kweli ccm hamna jipya ila ni kujichora tu.
 
Hapa CCM wanajaribu kuwatisha hao madiwani wao lakini kwa uhakika kabisa hawana ubavu wa kuwafukuza! Kinachofanyika hivi sasa ni kuwavunja nguvu ili warudi kuomba msamaha na kurudishiwa uanachama wao kwa masharti!!! na ndiyo maana katibu huyo amehitimisha kwa kusema wanayohaki ya kukata rufaa ngazi ya juu!!. Hali ya kisiasa kwa sasa haiwapi jeuri CCM kufukuza madiwani 8 hata kidogo!!. Stay tuned!
Vita vya panzi :majani7: furaha ya kunguru. 😛eace: Magamba yana tuzuga ila ni vizuri yakigombana.
 
Arusha ilikuwa kipigo cha 4-0 sasa Bukoba kinaenda kipigo cha 8-0. CCM bwana! Eti ukipinga ufisadi unafukuzwa,sii wabadili jima tuu na kujiita CCU yaani CHAMA CHA UFISADI?

Katika hili CCM wametia aibu!
 
Ni bora sasa Kagasheki naye ajiuzulu ili kuwaunga mkono wenzake la sivyo atakuwa amewasaliti
 
Back
Top Bottom