CCM hawana ubavu huo. Wanafukuza usiku wanawarudisha asubuhi.
CCM ni chama makini kina katiba na taratibu zake; siasa za Bukoba zimelenga zaidi katika umimi chama kinaangalia maslahi ya wananchi sio nani anamtaka au hamtaki Amani; mzee Mangula aliweka wazi; kamati kuu itakaa chini na kutoa maamuzi ya mwisho huo ndio utaratibu maamuzi siyo ya mtu mmoja au wawili!